Jifunze jinsi ya kutumia 'Should', 'Could' & 'Would'

English Kona

Member
Joined
Feb 24, 2019
Posts
21
Reaction score
75
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima. Leo ni siku nyingine tena tumekutana kupeana mawili matatu katika lugha ya kiingereza.

Siku ya leo tutajifunza jinsi ya kutumia SHOULD, COULD na WOULD.

Watu wengi wanaojifunza lugha ya kiingereza inakuwa ngumu kwao kuweza kutofautisha na kutumia maneno haya ( SHOULD, COULD & WOULD ) kwa ufasaha.

Kama na wewe ni miongoni wa watu wanaoshindwa kutumia maneno haya kwa ufasaha , basi nimekuekea video ya somo hilo. Video hiyo ni ya dakika 3 tu, ndani ya muda huo utaweza kuyatumia maneno hayo kwa ufasaha.



Tafadhali usisahau KU- SUBSCRIBE channel yetu.

SUBSCRIBE =>https://m.youtube.com/channel/UC-lRMLqXJ_1cfZINILPYgjg

Kama kuna sehemu hujapaelewa, tafadhali uliza ili ueleweshwe.
 
AISEE IT WOULD BE OF GREAT HELP FOR THOSE WHO STILL HAVEN'T CATCH UP WITH SUCH WORDS.
 
AISEE IT WOULD BE OF GREAT HELP FOR THOSE WHO STILL HAVEN'T CATCH UP WITH SUCH WORDS.

May be it should be a great help for those who needs to catch up with those words.

😡😡😡😡😡
 
Tunaoumia ni sisi wa freebasic na Nokia za tochi
 
May be it should be a great help for those who needs to catch up with those words.

😡😡😡😡😡
Haaaahaaaaa I've seen you have broken the kiinglish ....."those who needs" this really not correct. Any way can be typing errors.
 
Open WhatsApp group tht will be only for English learners bro...it'll help
 
Kiingereza ni lugha tata sana. Ndiyo maana tuna matatizo nayo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…