The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Bilionea Elon Musk anaendesha makampuni yake 7 Duniani kwa wakati mmoja na makapuni yote yanafanya vizuri Duniani.
Elon Musk ni muanzilishi, mkurugenzi na mmiliki wa makampuni 7, SpaceX, Starlink, X(Twitter), X Artificial intelligence, Boring Company, Tesla na Neuralink. Makampuni yote haya Musk anayendesha kila siku, yaani yeye ndio mkurugenzi mtendaji na muendeshaji wake kila siku.
Hivi hapa ni kanuni chache za Elon anazotumi kuendesha makapuni yake 6 kwa wakati mmoja.
1. Elon hapendi vikao visivyo na kichwa wala miguu, anasema vikao viwe vile tu vya lazima na visizidi nusu saa.
2. Elon anasema watu wakaimishe kazi, sio kila kazi ufanye wewe kwa kua wewe ndio boss basi unaamini kazi ukiifanya wewe ndio itakua nzuri ama wewe ndio unajua sana kwa kua wewe ni boss.
3. Kasi, Elon anapenda kwenda na kadi na muda. Elon aliwahi kufanya kazi ambayo ilikua inahitaji miezi 6 kwa siku 6. Speed is everything. The tighter the deadline the more work get done in a shorter time.
4. Uwajibikaji yeye anatambua aliefanya kazi na sio boss. Kama kazi imefanywa na engineer flani ama mfanyakazi flani, yeye anamtambua huyo mfanyakazi moja kwa moja badala ya boss iuchukua sifa zote, yeye hutambua mchango wa aliefanya ile kazi. Elon anasema ukimtambua yule mfanyakazi moja kwa moja inaongeza hamasa ya kufanya kazi.
5. Elon hapendi kufanya kazi kwa kufuata line of command, anasema kufanya kazi kwa kufuata mlolongo wa kiutawala unachelewesha kazi. Mfano ofisa w chini aanze kwa supervisor wake, supervisor aende kwa manager wake, manager aende kwa senior manager, senior manager aende kwa director, director aende kwa vice president ama deputy managing Director. Taarifa kutoka kwa MD itafuata mlolongo huo huo sasa anasema hii inapoteza muda, kama MD anamjua mtu flani anafanya kazi nzuri mpigie mmoja kwa moja muagize afanye hiyo kazi haraka na kama afisa wa chini unajambo unataka kuongea na MD nenda moja kwa moja hakuna kupitia mlolongo.
Soma hapa maelekezo ya Elon kwa wafanyakazi wa Tesla.
Elon Musk ni muanzilishi, mkurugenzi na mmiliki wa makampuni 7, SpaceX, Starlink, X(Twitter), X Artificial intelligence, Boring Company, Tesla na Neuralink. Makampuni yote haya Musk anayendesha kila siku, yaani yeye ndio mkurugenzi mtendaji na muendeshaji wake kila siku.
Hivi hapa ni kanuni chache za Elon anazotumi kuendesha makapuni yake 6 kwa wakati mmoja.
1. Elon hapendi vikao visivyo na kichwa wala miguu, anasema vikao viwe vile tu vya lazima na visizidi nusu saa.
2. Elon anasema watu wakaimishe kazi, sio kila kazi ufanye wewe kwa kua wewe ndio boss basi unaamini kazi ukiifanya wewe ndio itakua nzuri ama wewe ndio unajua sana kwa kua wewe ni boss.
3. Kasi, Elon anapenda kwenda na kadi na muda. Elon aliwahi kufanya kazi ambayo ilikua inahitaji miezi 6 kwa siku 6. Speed is everything. The tighter the deadline the more work get done in a shorter time.
4. Uwajibikaji yeye anatambua aliefanya kazi na sio boss. Kama kazi imefanywa na engineer flani ama mfanyakazi flani, yeye anamtambua huyo mfanyakazi moja kwa moja badala ya boss iuchukua sifa zote, yeye hutambua mchango wa aliefanya ile kazi. Elon anasema ukimtambua yule mfanyakazi moja kwa moja inaongeza hamasa ya kufanya kazi.
5. Elon hapendi kufanya kazi kwa kufuata line of command, anasema kufanya kazi kwa kufuata mlolongo wa kiutawala unachelewesha kazi. Mfano ofisa w chini aanze kwa supervisor wake, supervisor aende kwa manager wake, manager aende kwa senior manager, senior manager aende kwa director, director aende kwa vice president ama deputy managing Director. Taarifa kutoka kwa MD itafuata mlolongo huo huo sasa anasema hii inapoteza muda, kama MD anamjua mtu flani anafanya kazi nzuri mpigie mmoja kwa moja muagize afanye hiyo kazi haraka na kama afisa wa chini unajambo unataka kuongea na MD nenda moja kwa moja hakuna kupitia mlolongo.
Soma hapa maelekezo ya Elon kwa wafanyakazi wa Tesla.