Jifunze kilimo cha nyanya

Jamani Bei ya Nyanya ikoje huko Masokoni? kwa maana Huku niliko (Tanga) Bei ni Maumivu, Creti linaenda mpaka elfu kumi (10) Na nikicheki shambani zianiva kwa fujo. Kichwa kimepata Moto.
Ilala 15,000
 
Kwa wataalamu wa kilimo hususan matumizi ya mbolea jee matumizi ya biostimulants inaweza kuwa mbadala ya matumizi ya mbolea za viwandani?au pamoja na kutumia biostimulants inahitajika pia kutumia mbolea
 
Uni PM namba yako Kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba unipatie naomba yako m nko morogoro pia natak kujifunza zaid na huu mwak nna plan za kulima nyanya za kisasa namba yangu 0767459480. Naomba nipgie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…