Jifunze kuandika sentensi, anayeishi Marekani anakosea hivi

Jifunze kuandika sentensi, anayeishi Marekani anakosea hivi

mbongopopo

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2008
Posts
1,611
Reaction score
760
Na weka maneno chini niliyoyakuta yameandikwa kwa blog kama tamko kwa umma.
Kweli hawa watu wameishi marekani miaka mingi na hadi leo kiingereza ni pumba yaani hata bora wangekosea herufi ila wamekosea hata kuweka sentensi kuleta wanachotaka kusema bila mtu kusoma na kushangaa....

sasa hata mwenye blog nae anaishi marekani blog maarufu hiyo vijimambo nae hakuona makosa akarusha tu...

sasa hii ndio maana unakuta wengi kazi zao shughuli kutwa kuongea na watanzania, wazungu waongee kizungu ni mara chache madukani etc

hivi kweli mtajiendeleza kwa lugha ngeni? tena huyo na kuwa na kampuni hiyo kumbe duh..kikazi si shida zaidi.

haya kwa mnaotaka kujifunza lugha ya kiingereza, hii ni moja ya examples kukusaidia kuweka vizuri (yaani kuiandika vizuri) ujumbe waliotaka kuutoa kwa umma. Soma ili ugundue wapi hakueleweki, Kumbuka usikazanie kusahihisha neno, hata sentensi unaweza badili.

PRESS RELEASE :-SAFARI RESTAURANT IMEFUNGWA RASMI -IMETOLEWA KWA UMMA NA DMK CHASE INVESTMENT LLC.



DMK CHASE INVESTMENT .LLC WOULD LIKE TO INFORM OUR CUSTOMERS THAT WE ARE NO LONGER MANAGING SAFARI RESTAURANT DC,WE HAVE CLOSED THE KITCHEN AT THE END OF OUR CONTRACT AND WE HAVE NOT RENEWED FOR ANOTHER YEAR ,WE ARE MOVING TO THE NEW LOCATION IN DOWNTOWN SILVER SPRING,MORE DETAILS COMING SOON,WE ARE SORRY FOR THE INCONVENIENCES AS THIS MAY CAUSE AND THANK YOU FOR YOUR PATRONAGE AND PATIENCE ALL THROUGH THE YEAR -MANAGEMENT-

 
Ungeweka hayo makosa ingekuwa safi maana american english au slang haizingatii grammar kama british english.
 
mbongopopo unapokosoa kilichoandikwa/semwa na mwenzio ni vizuri ukaonyesha kilichokosewa bila hivyo inakuwa ngumu kwetu wengine kujifunza-kama kwenye hilo tangazo mi sijaona kilichokosewa
 
Last edited by a moderator:
Na weka maneno chini niliyoyakuta yameandikwa kwa blog kama tamko kwa umma.
Kweli hawa watu wameishi marekani miaka mingi na hadi leo kiingereza ni pumba yaani hata bora wangekosea herufi ila wamekosea hata kuweka sentensi kuleta wanachotaka kusema bila mtu kusoma na kushangaa....

sasa hata mwenye blog nae anaishi marekani blog maarufu hiyo vijimambo nae hakuona makosa akarusha tu...

sasa hii ndio maana unakuta wengi kazi zao shughuli kutwa kuongea na watanzania, wazungu waongee kizungu ni mara chache madukani etc

hivi kweli mtajiendeleza kwa lugha ngeni? tena huyo na kuwa na kampuni hiyo kumbe duh..kikazi si shida zaidi.

haya kwa mnaotaka kujifunza lugha ya kiingereza, hii ni moja ya examples kukusaidia kuweka vizuri (yaani kuiandika vizuri) ujumbe waliotaka kuutoa kwa umma. Soma ili ugundue wapi hakueleweki, Kumbuka usikazanie kusahihisha neno, hata sentensi unaweza badili.



wach mboyoyo nyingi onyesha makosa na usahihishe ilitakiwa iweje
 
Mi naona shida kubwa katika mauhui mazima ya tangazo,sijui kama wamefurahishwa na kukoma kuusimamia huo mgahawa kwa hiyo unaendesha na taasisi nyingine ,je tatizo ni kuhama au kuto renew mkataba katika sehemu husika na kwa mwaka huo.
tangazo ni mkusanyo wa point zinazokinzana!
 
Ungeweka hayo makosa ingekuwa safi maana american english au slang haizingatii grammar kama british english.

acha kuchanganya mambo mkuu..American english kama ilivyo lugha yoyote duniani inazingatia grammar...point ni kuwa muundo wa grammar wa British English una utofauti kidogo na American English (kama matumizi ya double negative katika AmE na single negative katika BrE)

Neno slang halimaanish American English bali ni maneno yasiyo rasmi katika lugha flani ambayo yanajulikana na kutumiwa na baadhi ya watu katika lugha hiyo kutokana na sababu mbalimbali kama social status, age group au secrecy. nikisema "shori" ni slang ya kiswahili ambayo yanki wa mjini wa umri wa ujana atanielewa lakini babu yangu kijijini hawez kuielewa

tuendelee na mada
 
Na weka maneno chini niliyoyakuta yameandikwa kwa blog kama tamko kwa umma.
Kweli hawa watu wameishi marekani miaka mingi na hadi leo kiingereza ni pumba yaani hata bora wangekosea herufi ila wamekosea hata kuweka sentensi kuleta wanachotaka kusema bila mtu kusoma na kushangaa....

sasa hata mwenye blog nae anaishi marekani blog maarufu hiyo vijimambo nae hakuona makosa akarusha tu...

sasa hii ndio maana unakuta wengi kazi zao shughuli kutwa kuongea na watanzania, wazungu waongee kizungu ni mara chache madukani etc

hivi kweli mtajiendeleza kwa lugha ngeni? tena huyo na kuwa na kampuni hiyo kumbe duh..kikazi si shida zaidi.

haya kwa mnaotaka kujifunza lugha ya kiingereza, hii ni moja ya examples kukusaidia kuweka vizuri (yaani kuiandika vizuri) ujumbe waliotaka kuutoa kwa umma. Soma ili ugundue wapi hakueleweki, Kumbuka usikazanie kusahihisha neno, hata sentensi unaweza badili.


kama hicho ulichokiandika chini ndo masahihisho yako ndugu basi naona unajaribu kutoa borit jichoni mwa mtu wakati...... hata maelezo yako ya utangulizi ni p.u.m.b.a
 
kama hicho ulichokiandika chini ndo masahihisho yako ndugu basi naona unajaribu kutoa borit jichoni mwa mtu wakati...... hata maelezo yako ya utangulizi ni p.u.m.b.a

Tabu ya waTanzania mnapenda sana kuandikiwa...kwani haujaona quote ya walichoandika? unajifanya unajua wakati wewe kusoma na kuelewa haujui....jifunze hata kusoma kiswahili na kuelewa mtu kaandika nini.

umeona wapi nimeandika kuwasahihisha?

kila mtu ameuliza nisahihishe so kama mtu ukiwa unaisoma na hauwezi kuisahihisha kichwani mwako basi nawe haujui kama wao.

so acha P.U.M.B.A
 
Back
Top Bottom