Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Hakuna haramu unalipia kodi.Haram ni kile unachokitapika tu. Vingine vyote ni halali.
Kabla haujaniacha solemba.Mkuu saiz nna tafta mtaj n ni sh 20k ningekua namda ningekufundisha
mkuu una some ideas ntakupa namba utanitafta mi sio mbinafsKabla haujaniacha solemba.
Meridian bet naona wana bet za totals (over na under) za point mbalimbaki, naona 210, 211n.k.
Hapo nachagua yoyote?
mkuu una some ideas ntakupa namba utanitafta mi sio mbinafs
Haposafiimpwaaaa ngojanamie nikachungulie upunguze yalemadeni ya 2017Page ya pili ya uzi huu, kuna link ya kujiunga na ilo group la whatsap la Basket na kila kitu utajulishwa huko, bonyeza uingie kundini moja kwa moja.
Premierbet, Meridianbet na MchezabetKampun gani nzuri kwa basket,yaan option ni nying
Princess vpPremierbet, Meridianbet na Mchezabet
Kwenye basketball hawana option nyingiPrincess vp
Mkuu hii volleyball mbona sielewei unakuta kuna metch wanacheza hadi set 5,mechi zingine zinaishia 3 au 4.sasa nachojiuliza utajuaje match fulani wataishia hawatafika seti fulani labda 4 wakaishia 3?mkuu natafta mtaji ni kama elf 20 ntakua nacheza basketball na volleyball kila siku nataka niingize hata 50k
VOLLEYBALL ipo hiviMkuu hii volleyball mbona sielewei unakuta kuna metch wanacheza hadi set 5,mechi zingine zinaishia 3 au 4.sasa nachojiuliza utajuaje match fulani wataishia hawatafika seti fulani labda 4 wakaishia 3?
uliza kuhusuMkuu hii volleyball mbona sielewei unakuta kuna metch wanacheza hadi set 5,mechi zingine zinaishia 3 au 4.sasa nachojiuliza utajuaje match fulani wataishia hawatafika seti fulani labda 4 wakaishia 3?
Basketball team za wapi zinapenda kutoa over points 200+uliza kuhusu
VOLLEYBALL
BASKETBALL
ice hockey
water polo
handball
futsal
NBA HII NI LIG YA MAREKANIBasketball team za wapi zinapenda kutoa over points 200+
Shukurani Mkuu ... Nimepata pa kupapasaNBA HII NI LIG YA MAREKANI
CHINA CBA HII KILA SIKU KUNA MPAKA 240+
PHILIPPINES COMMISSION CUP
hio ni 200+ plus kwa kua wanatumia dk 12 ila kwa wanaotumua dk 10 nendaShukurani Mkuu ... Nimepata pa kupapasa
sasa mkuu kule kwenye betting unaweza wekewa point let say juu ya 180.5 au chini ya 180.5 sasa game ikiisha set ya 3 ni wazi hizo points haziwezi kupatikana na ni vigumu kujua kama timu watafikia set 3 tu.sasa kwa sisi tunao beti ni vitu gani vya kuangalia kujua hii mechi angalau wanaweza kufika set 4 angalau waweze kutoa hizo pointsVOLLEYBALL ipo hivi
kwanza ina set nne rasmi
team ikishinda set 3 kwa bila game inaisha hapo hapo
ila wakifunga kwa kubadilishana set mfano set ya kwanza imeshinda hom team na set ya pili wameshinda away team bas hio game inafika set 4
ikitokea wamefungana kwa set mbili mbili kila team inakua 2up hivo wanaongeza set ya 5 ili imalize ubish mana lazima mshind apatikane
uliza lingine nikusaidie
Pamoja ndg ... Tutazidi kuelekezana kesho ntaweka kokoro nijaribuhio ni 200+ plus kwa kua wanatumia dk 12 ila kwa wanaotumua dk 10 nenda
GERMANY
SPAIN
ARGENTINA
SLOVENIA
FINLAND
RUSSIA VTB
EURO LEAGUE
ABA LEAGUE
HAPO UNAEZA KUANZIA MWENDO NI OVER SO UNDER