Jifunze kuhusu ujenzi: Mwezi upi ni mzuri kwa kujenga?

Jifunze kuhusu ujenzi: Mwezi upi ni mzuri kwa kujenga?

greater than

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,653
Reaction score
3,060
Kuna wateja kadhaa,nishakutana nao wakiuliza juu ya kipindi gani cha mwaka ni kizuri kwa ajili ya wao kuanza ujenzi....

Nitafanya uchambuzi kwa kuzingatia vipindi vinne vya mwaka.

4.MASIKA
  • March,April na May
  • Hiki ni kipidni cha mvua kubwa....
  • Joto huwa la wastani
  • Kiwango cha Unyevu kwenye hewa huwa kikubwa
Hiki ndiyo kipindi kibovu zaidi kujenga katika mwaka,Kwani.
  • Ngumu kuchimba msingi wa jengo.
  • Mchanga kusombwa na maji
  • matilio kuharibiwa na maji.
  • SImenti,Gypsum na mbao kuharibiwa na Unyevu
3.KIANGAZI
  • Disemba,January na Februari.
  • Jua huwa kali kuliko vipindi vingine vyote.
  • Kiwango cha unyevu kwenye hewa huwa kikubwa sana,na ikinyesha mvua,huleta fukuto.
Shida kubwa ya ujenzi kwenye hii kipindi....
  • Mashine kupata joto kwa wepesi,kwahyo zitahitaji kupumzika mara kwa mara.
  • Wafanyakazi kuchoka kwa uharaka kutokana na kupoteza maji mengi kupitia majasho,lakini pia kufanya kazi kwa shida kutokana na ukali wa jua.
  • SImenti kuwahi kukauka na kuweka nyufa,,,,kumwagiwa maji kwa jengo kwa mda unao takiwa kwahitajika.

2.MAJIRA YA KUCHIPUA
September,October na November.....
  • Kiwango cha mvua huwa ni cha wastani...
  • kuwa makini na utabiri wa hali ya hewa,mda wowote mvua huweza Kunyesha
  • Kufika mwezi wa 11,joto huanza kuwa kali....
Kipindi cha pili kizuri kwa kujenga...ila umakini tu wahitajika

1.KIPUPWE
JUNE,JULY na AUGUST
  • Hiki ndicho kipindi kizuri kwa ujenzi...
  • Joto huwa dogo
  • Ndiyo kipindi kikavu kuliko vyote
  • Kuchimba msingi,mashimo ya vyoo hufaa kufanywa ndani ya huu mda.
  • Mafundi hufanya kazi kwa utulivu
  • Hakuna hofu ya mvua

Uki fuata hii ratiba itakusaidia kuingia hasara ya
  • kuharibikiwa na matilio....
  • Sehemu ya jengo ama jengo zima kubomoka
  • kucheleweshwa kwa kazi
Nakaribisha maoni na maswali.
 
Ulizia miradi ya serikali hatunaga kipindi maalum cha Kujenga.Determinant ni upatikanaji wa Pesa.Sikumbuki hizi Ratiba za Msimu:Zinapishana Mikoa tofauti.Mleta mada sijui Kiangazi chako ni cha Dar au Pwani.Nilijenga Dar Kwa kutumia mshahara na Mikopo Kila Mwezi nilikuwa natoa 2m Hadi sikumbuki habari za Masika na Kiangazi.Nikajenga Tabora pia hivyo na Geita.Kuna Mradi tulianza wa Biashara February 2022 Kwa sasa tunafanya finishing.Yaani Pesa ikiwepo kazi zinafanyika.Nilichonote Kwa Geita ni kwamba Mei Hadi Agosti watu Wanajenga Sana baada ya Kuuza Mpunga na pia Mchanga wa dhahabu kuchenjuliwa.September watu wanaanza Kulima Hadi February.Wakati wa mvua Kazi za Uchimbaji zinakuwa ngumu hivyo Mchanga haiguswi.Serikalini Epicor ukisoma miradi inaendelea.
 
Ulizia miradi ya serikali hatunaga kipindi maalum cha Kujenga.Determinant ni upatikanaji wa Pesa.Sikumbuki hizi Ratiba za Msimu:Zinapishana Mikoa tofauti.Mleta mada sijui Kiangazi chako ni cha Dar au Pwani.Nilijenga Dar Kwa kutumia mshahara na Mikopo Kila Mwezi nilikuwa natoa 2m Hadi sikumbuki habari za Masika na Kiangazi.Nikajenga Tabora pia hivyo na Geita.Kuna Mradi tulianza wa Biashara February 2022 Kwa sasa tunafanya finishing.Yaani Pesa ikiwepo kazi zinafanyika.Nilichonote Kwa Geita ni kwamba Mei Hadi Agosti watu Wanajenga Sana baada ya Kuuza Mpunga na pia Mchanga wa dhahabu kuchenjuliwa.September watu wanaanza Kulima Hadi February.Wakati wa mvua Kazi za Uchimbaji zinakuwa ngumu hivyo Mchanga haiguswi.Serikalini Epicor ukisoma miradi inaendelea.
1.Rejea kichwa cha mada :Mwezi upi mzuri kwa ujenzi....
2. Nimeweka orodha ya kipindi miezi mibovu ya ujenzi mpaka miezi mizuri...

3.Vipindi vya mwaka vinafanana mikoa yote katika nchi hii....
Dar ikiwa kiangazi pia ni kiangazi Mbeya na hata Mwanza....sema kiwango cha joto kitatofautiana...

4.Kwenye kipindi cha masika kasi ya Ujenzi itapungua, iwe ujenzi wa Majengo au barabara...
Hauwezi jenga wakati mvua yanyesha mfululizo ,pesa haitoondoa mvua...

5.Kujenga kwenye kipindi sicho ni huweza sababisha hasara...
 
1.Rejea kichwa cha mada :Mwezi upi mzuri kwa ujenzi....
2. Nimeweka orodha ya kipindi miezi mibovu ya ujenzi mpaka miezi mizuri...

3.Vipindi vya mwaka vinafanana mikoa yote katika nchi hii....
Dar ikiwa kiangazi pia ni kiangazi Mbeya na hata Mwanza....sema kiwango cha joto kitatofautiana...

4.Kwenye kipindi cha masika kasi ya Ujenzi itapungua, iwe ujenzi wa Majengo au barabara...
Hauwezi jenga wakati mvua yanyesha mfululizo ,pesa haitoondoa mvua...

5.Kujenga kwenye kipindi sicho ni huweza sababisha hasara...
Kama Wewe ni fundi haujafika Maeneo Mengine tulia.Kama ni developer tembea.Kama ni Mkandarasi tukupe project alafu ulete story za masks,tunakufuta Kazi.Nchi hajawahi kuwa na Msimu inayofanana.Kuna Mikoa mvua mvua zinanyesha karibu Mwaka mzima.Kuna Mikoa Wana Msimu 2 ya Mvua.Kuna Mikoa kama Dodoma mvua Miezi 2 Tu Mfano Dodoma.Angalia weather forecast.Wakati mvua zinaanza September au Oktoba,kwingine zinaanza Disemba.
 
Kuna wateja kadhaa,nishakutana nao wakiuliza juu ya kipindi gani cha mwaka ni kizuri kwa ajili ya wao kuanza ujenzi....

Nitafanya uchambuzi kwa kuzingatia vipindi vinne vya mwaka.

4.MASIKA
  • March,April na May
  • Hiki ni kipidni cha mvua kubwa....
  • Joto huwa la wastani
  • Kiwango cha Unyevu kwenye hewa huwa kikubwa
Hiki ndiyo kipindi kibovu zaidi kujenga katika mwaka,Kwani.
  • Ngumu kuchimba msingi wa jengo.
  • Mchanga kusombwa na maji
  • matilio kuharibiwa na maji.
  • SImenti,Gypsum na mbao kuharibiwa na Unyevu
3.KIANGAZI
  • Disemba,January na Februari.
  • Jua huwa kali kuliko vipindi vingine vyote.
  • Kiwango cha unyevu kwenye hewa huwa kikubwa sana,na ikinyesha mvua,huleta fukuto.
Shida kubwa ya ujenzi kwenye hii kipindi....
  • Mashine kupata joto kwa wepesi,kwahyo zitahitaji kupumzika mara kwa mara.
  • Wafanyakazi kuchoka kwa uharaka kutokana na kupoteza maji mengi kupitia majasho,lakini pia kufanya kazi kwa shida kutokana na ukali wa jua.
  • SImenti kuwahi kukauka na kuweka nyufa,,,,kumwagiwa maji kwa jengo kwa mda unao takiwa kwahitajika.

2.MAJIRA YA KUCHIPUA
September,October na November.....
  • Kiwango cha mvua huwa ni cha wastani...
  • kuwa makini na utabiri wa hali ya hewa,mda wowote mvua huweza Kunyesha
  • Kufika mwezi wa 11,joto huanza kuwa kali....
Kipindi cha pili kizuri kwa kujenga...ila umakini tu wahitajika

1.KIPUPWE
JUNE,JULY na AUGUST
  • Hiki ndicho kipindi kizuri kwa ujenzi...
  • Joto huwa dogo
  • Ndiyo kipindi kikavu kuliko vyote
  • Kuchimba msingi,mashimo ya vyoo hufaa kufanywa ndani ya huu mda.
  • Mafundi hufanya kazi kwa utulivu
  • Hakuna hofu ya mvua

Uki fuata hii ratiba itakusaidia kuingia hasara ya
  • kuharibikiwa na matilio....
  • Sehemu ya jengo ama jengo zima kubomoka
  • kucheleweshwa kwa kazi
Nakaribisha maoni na maswali.
asante kwa kujali. Jf tuko vizuri

YESU NI KRISTO
 
Back
Top Bottom