karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Leo katika pita pita zangu nimeona niwaletee hii japo kuwa wapo ambao wstapinga.
Si kila mtu anapata bahati ya kuoa au kuolewa na mtu ambae alimpenda Mara kadhaa unajikuta kua mtu ambae ulimpenda kwa dhati alikuumiza Yeye alikua hakupendi hivyo ukaamua kuendelea na maisha yako na Sasa uko na mtu mwingine
Hii haimaanishi kwamba uache kufuràhia maisha na uanze kuishi maisha ya zamani KWA kuendelea kumfikiria mtu ambae una uhakika kua hamuwezi kua pamoja Tena
Hutakua wajitendea Haki au kumtendea Haki mwenza WAKO kama bado akili yako utaiweka kwa yule aliekutenda mlieachana kwa sababu yyte ile, jifunze KUMPENDA mtu ulienae Sasa hata Kama hakua chàguo lako la kwanza inawezekana hata weye hukua chàguo lake la kwanza lakini ndio imeshatokea hivyo wote mnatakiwa mjitahidi kupendana
Angalia mazur alionayo na angalia namna ambavyo mnaweza kuliimarisha penzi lenu kwanza kumfikiria wa awali unakua unapoteza muda tu na kujinyima fursa ya kujifunza na kufaid Mambo mazur kutoka kwa mtu wako mpya
Kumbuka kua kama ilishindikana kwa namna yoyote ile kuoana na mtu wa ndoto yako Basi jua kua hakua mtu sahihi kwako hakua ambaye ulipangiwa na Mola WAKO Kwani mipango ya Mungu kamwe haivurugwi na mwanaadam mfurahie ulienae .
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Leo katika pita pita zangu nimeona niwaletee hii japo kuwa wapo ambao wstapinga.
Si kila mtu anapata bahati ya kuoa au kuolewa na mtu ambae alimpenda Mara kadhaa unajikuta kua mtu ambae ulimpenda kwa dhati alikuumiza Yeye alikua hakupendi hivyo ukaamua kuendelea na maisha yako na Sasa uko na mtu mwingine
Hii haimaanishi kwamba uache kufuràhia maisha na uanze kuishi maisha ya zamani KWA kuendelea kumfikiria mtu ambae una uhakika kua hamuwezi kua pamoja Tena
Hutakua wajitendea Haki au kumtendea Haki mwenza WAKO kama bado akili yako utaiweka kwa yule aliekutenda mlieachana kwa sababu yyte ile, jifunze KUMPENDA mtu ulienae Sasa hata Kama hakua chàguo lako la kwanza inawezekana hata weye hukua chàguo lake la kwanza lakini ndio imeshatokea hivyo wote mnatakiwa mjitahidi kupendana
Angalia mazur alionayo na angalia namna ambavyo mnaweza kuliimarisha penzi lenu kwanza kumfikiria wa awali unakua unapoteza muda tu na kujinyima fursa ya kujifunza na kufaid Mambo mazur kutoka kwa mtu wako mpya
Kumbuka kua kama ilishindikana kwa namna yoyote ile kuoana na mtu wa ndoto yako Basi jua kua hakua mtu sahihi kwako hakua ambaye ulipangiwa na Mola WAKO Kwani mipango ya Mungu kamwe haivurugwi na mwanaadam mfurahie ulienae .
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app