Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Ni muda Sasa tangu nimeanza harakati za kufuatilia mbinu za kupunguza malisho ya mifugo. Kwa mengi niliyojifunza, machache nimewafunza wengine wengi. Machache hayo Ni:-
1. Hydroponics fodder
2. Uzalishaji wa azolla
3. Uandaaji wa silage (ki vunde)
4. Uzalishaji wa funza
5. Uzalishaji wa minyoo
6. Uzalishaji wa virutubisho vya mimea kwa njia ya asili.
Kwa wale wanaojiuliza Kama bado naendelea na shughuli hizi, Uzi huu Ni jibu tosha. Nilikuwepo, nipo na Mungu atanisimamia niendelee kuwafundisha wanaohitaji.
Karibu Sana, tujifunze kwa pamoja. Kama una swali uliza tu.
1. Hydroponics fodder
2. Uzalishaji wa azolla
3. Uandaaji wa silage (ki vunde)
4. Uzalishaji wa funza
5. Uzalishaji wa minyoo
6. Uzalishaji wa virutubisho vya mimea kwa njia ya asili.
Kwa wale wanaojiuliza Kama bado naendelea na shughuli hizi, Uzi huu Ni jibu tosha. Nilikuwepo, nipo na Mungu atanisimamia niendelee kuwafundisha wanaohitaji.
Karibu Sana, tujifunze kwa pamoja. Kama una swali uliza tu.