Wala huko mie sikuwepo kabisa, hongera zako.
Tatizo maelekezo hamna,
Kwenye kisahani ni sukari sio unga.Mkuu MziziMkavu kwenye kisahan ni sukari au unga?
Mkuu MziziMkavu kwenye kisahan ni sukari au unga?
Mie hata sijaelewa
Udenda umentoka napenda chocolate na karanga pia
Mhhhhhhh!!!! 🙂🙂
Chocs.....huuuh
Vipi? We hupendi!!
Napenda vyote ila karanga zaidi, lakini si hadi kufikia kutoa udenda lol!!!
CC: farkhina.
Tatizo maelekezo hamna,
chekii picha..
Kwenye kisahani ni sukari sio unga.