GadoTz
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 370
- 636
Unaweza kujifunza kitu kwa awa vijana wenye umri chini ya miaka 30 lakini kwa ubunifu na juhudi zao wamefanikiwa kuwa matajiri.
LORNA RUTTO,Mkenya
Ana miaka 28 ndio mwanzilishi wa ECO POST, kampuni inayotengeneza nguzo za fensi kwa kutumia mabaki ya plastiki, ikiwa ni mbadala wa kutumia miti. Eco Post inakusanya mabaki ya plastiki na kutengeneza nguzo za kuweka fensi.
PATRICK NGOWI,Mtanzania
Ana miaka 28 ni mwanzilishi na mmiliki wa HELVETIC SOLAR CONTRACTORS. Ngowi alianz biashara akiwa na miaka 15 alipata mkopo kutoka kwa mama yake kwa ajili ya kuanzisha iyo biashara yake ambapo awali alianzia na biashara ya simu za kichina. Baadae aliamia kwenye hii biashara ya umeme wa jua haswa kwa maeneo ya kaskazini mwa Tanzania. Mwaka jana kamupuni ya Ngowi ilitengeneza dola za kimarekani millioni 3.
EVANS WADONGO, Mkenya
Wadongo ana miaka 26 alibuni taa ya kutumia chaji ya mwanga wa jua inayoitwa MwangaBora. Ubunifu wake ulisaidia kupunguza kero ya kutumuia vibatar
i na chemli za mafuta ya taa sehemu za vijijini mwa Kenya.
JOEL MWALE, Mkenya
Mwale ana miaka 20, anaendesha kampuni ya SKY DROP. Kampuni yake inazalisha maji ya kunywa yanayotokana na kukusanya maji ya mvua kuya-treat na kuuzwa kwa bei chee. Pia inazalisha na kusambaza bidhaa zinazotokana na maziwa.
OLUWASENU OSEWA,Mnaijeria
Mwanzilishi wa mtandao wa Nairaland. Nairaland ndio forum kubwa Africa yenye memba (Active members) zaidi ya milioni 1. Kwa Naijeria mtandao wa Nairaland inatembelewa na watu wengi kuliko ata Wikipedia.
LORNA RUTTO,Mkenya
Ana miaka 28 ndio mwanzilishi wa ECO POST, kampuni inayotengeneza nguzo za fensi kwa kutumia mabaki ya plastiki, ikiwa ni mbadala wa kutumia miti. Eco Post inakusanya mabaki ya plastiki na kutengeneza nguzo za kuweka fensi.
PATRICK NGOWI,Mtanzania
Ana miaka 28 ni mwanzilishi na mmiliki wa HELVETIC SOLAR CONTRACTORS. Ngowi alianz biashara akiwa na miaka 15 alipata mkopo kutoka kwa mama yake kwa ajili ya kuanzisha iyo biashara yake ambapo awali alianzia na biashara ya simu za kichina. Baadae aliamia kwenye hii biashara ya umeme wa jua haswa kwa maeneo ya kaskazini mwa Tanzania. Mwaka jana kamupuni ya Ngowi ilitengeneza dola za kimarekani millioni 3.
EVANS WADONGO, Mkenya
Wadongo ana miaka 26 alibuni taa ya kutumia chaji ya mwanga wa jua inayoitwa MwangaBora. Ubunifu wake ulisaidia kupunguza kero ya kutumuia vibatar
i na chemli za mafuta ya taa sehemu za vijijini mwa Kenya.
JOEL MWALE, Mkenya
Mwale ana miaka 20, anaendesha kampuni ya SKY DROP. Kampuni yake inazalisha maji ya kunywa yanayotokana na kukusanya maji ya mvua kuya-treat na kuuzwa kwa bei chee. Pia inazalisha na kusambaza bidhaa zinazotokana na maziwa.
OLUWASENU OSEWA,Mnaijeria
Mwanzilishi wa mtandao wa Nairaland. Nairaland ndio forum kubwa Africa yenye memba (Active members) zaidi ya milioni 1. Kwa Naijeria mtandao wa Nairaland inatembelewa na watu wengi kuliko ata Wikipedia.