mzee wa manzese
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 670
- 216
Unaweza kujifunza kitu kwa awa vijana wenye umri chini ya miaka 30
OLUWASENU OSEWA,Mnaijeria
Mwanzilishi wa mtandao wa Nairaland. Nairaland ndio forum kubwa Africa yenye memba (Active members) zaidi ya milioni 1. Kwa Naijeria mtandao wa Nairaland inatembelewa na watu wengi kuliko ata Wikipedia.
Watu wanaongelea waanzilishi wa makampuni yenye kazi tofauti, wewe unaongela "alipata madini". Wapi na wapi?
Billion 200 unazijuwa zilivyo au unajisemea tu?
Hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Humu jamii forum si tupo zaidi ya hiyo milioni 1..,,
Haya mambo ya kukopeshwa na mzazi ni sawa na aliyelisi mali kutoka kwa mzazi wote mmepata kilahisi, kwani mzazi akikupesha unaweka dhamana gani,mda wa kurudisha mkopo,riba? Mfano mo eti alipomaliza chuo babake alimkopesha mtaji! au watoto wa baharesa eti nao ni wakuigwa! Hawa wote wamerithi tu, wakuigwa hapo ni baba zao ambao walitafuta mtaji wenyewe na wakaweza kuwasomesha hao watoto hadi elim za juu.
Hahaaaaaaa umeua mkuuDah...Mimi bado napigania milo mitatu kwa siku lakini bado inanitoa jasho wakati watu wengine wanaingiza billioni tatu kwa mwaka........haya maisha ukiyatafakari sana unaweza ukamtoa mtu kafara........some people are blessed..
..
Naona baadhi ya watu wakiona jina la mchaga viroho huwa vinawauma sana,, hamuwawezi hawa jamaa,, wataendelea kuwa juu, so just join them... Period!!
Hizo takwimu wanachukulia wapi hapa Songea kuna kijana mmoja ana miaka 19 alipata madini aina ya saphire yenye thamani ya bilioni 200
Kwa leo nimekupa like, huyo jamaa ni anakurupuka tu kama mtu aliyefumaniwa, kama hatumii kitu cha meru ni bahati sana:majani7:
Kama ni waanzilishi wa makampuni mbona wako wengi sana lakini hawatajwi.? Nenda Brela uone kuna maelfu ya makampuni ya watu mbona hawatajwi anatajwa ngowi tu? Forbes wanamaanisha VIJANA WENYE PESA sio makampuni. Kuna kampuni nyingi tu zina mtaji hata milioni tano haifiki. We bibi unajifanya unajua kila kitu kumbe zuzu tu. Hiyo bilioni 200 kubwa kwako kwa wengine ni hela ya mboga tu