ukitaka kumuuliza mtu wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwenu hapo kwa english inakuaje?
Habari mkuu !Mkuu mr teacher hebu tufundishe na jinsi ya kuunda sentensi kwa wepesi wakati wa kuzungumza
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu.Welcome to Present Continuous Tense
The present continuous verb tense indicates that an action or condition is happening now, frequently, and may continue into the future.
- Tendo linafanyika sasa, au mara kwa mara, na linaweza kufanyika hapo baadae.
Formula yake ni [am, is, are] + verb [present participle].
Nafsi zimeshatajwa:
Singular (umoja)
First - I
Second - You
Third - He (masculine), She (feminine) and It (objects and animals).
Plural (wingi)
First - We
Second - You
Third - They
Kwa kufata formula ya [am, is, are] + verb [present participle] nitaweka mifano kwa kufatisha nafsi hizo hapo juu.
Singular:
I am writing a letter - Ninaandika barua
You are writing a letter - Unaandika barua
He/She/It is writing a letter - Anaandika barua.
Plural:
We are writing letters - Tunaandika barua
You are writing letters - Mnaandika barua
They are writing letters - Wanaandika barua
Note: Nafsi ya pili umoja na wingi zote zinatumia "are".
Nitaendelea...
Safi sana mkuu.
Samahanini nilitoka JF kwa muda kutokana na mambo fulani, kwa sasa nimerudi tupo pamoja.
Hahahahaha ! Ngoja tukiwashe tena mkuu. Sema hata hivyo ulikuwa unakichangamsha bado.Karibu sana, uliondoka na kijiwe kikafa.
H
Hahahahaha ! Ngoja tukiwashe tena mkuu. Sema hata hivyo ulikuwa unakichangamsha bado.
Ni kweli mkuu , mkishirikiana pamoja katika kazi kunakuwa na uwezekano mkubwa wa kufanikiwa.Upepo ulikata, kampani muhimu sana.
Ni kweli mkuu , mkishirikiana pamoja katika kazi kunakuwa na uwezekano mkubwa wa kufanikiwa.
Bado tupo mkuu , tumefufua tenaHuku kumbe bado mpo
Nafurahi kuwaona tenaBado tupo mkuu , tumefufua tena
Asante sana mkuu, nasi pia tumefurahi. Ngoja tukiwakishe tena.Nafurahi kuwaona tena
Huku kumbe bado mpo
Sawa ngoja na sie wanafunzi turudi darasaniMwalimu mkuu karudi, ilikuwa nikutag fasta ili shule iendelee.
Sawa ngoja na sie wanafunzi turudi darasani
Msiojua kidhungu mnaitwaaa