Jamani thread hii isiwe ya vurugu watu wanataka kujifunza vitu ila nashangaa sahizi imejaa Vita,Tujiheshim wakuu other we need to learn english in peace not you two
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mkuu yaishe. Am sorry
Test your understanding of tenses!
Look at the sentences below. Are the statements True (T), False (F) or Not sure (NS)?
1.We used to go to Kigoma for our holiday.
a.We went to Kigoma once._______
b.We went to Kigoma more than once.________
c.We go to Kigoma now._______
2.If my parents lived nearby, we could see them more often.
a.My parents live nearby.________
b.My parents used to live nearby.______
c.My parents don’t live nearby now._______
3.They’d started dinner when we arrived.
a.When we arrived, they began eating._______
b.When we arrived, they were eating.________
c.When we arrived, the meal was finished._______
4.I worked as a travel courier for several years.
a.I’m a travel courier now.______
b.I used to be a travel courier.______
c.I was a travel courier at one time.________
Hivi unadhani unachozungumza au kifikiri ni lazima tufikiri pamoja? Wewe uliandika ukiwa unajua unachomaanisha kichwani, je, mimi ninaepokea? Wakati huohuo ni wewe tumetoka kutoleana maneno yasiyo mazuri hapohapo utakuja na kauli hii nikuelewe utakavyo? Ninadhani kuna shida ya kuutumia muktadha ipasavyo.
Mimi binafsi nilijaribu kufanya ila instruction imenichanganya maana maswali ni ya kuchagua halafu tena tuandike true or false nikahisi sijaelewaSasa jamani nimetoa zoezi mbona tunalipotezea?Hembu tusaidiane hapa
Au lipo nje ya mada nini?
Sasa jamani nimetoa zoezi mbona tunalipotezea?Hembu tusaidiane hapa
Au lipo nje ya mada nini?
Wewe jamaa kama una mke utakuwa unaishi naye kibishi sana, ningeelewa kama argument ingekuwa kati ya wanawake tu.
Ila you are unnecessary prolonging it.
Test your understanding of tenses!
Look at the sentences below. Are the statements True (T), False (F) or Not sure (NS)?
1.We used to go to Kigoma for our holiday.
a.We went to Kigoma once._______
b.We went to Kigoma more than once.________
c.We go to Kigoma now._______
2.If my parents lived nearby, we could see them more often.
a.My parents live nearby.________
b.My parents used to live nearby.______
c.My parents don’t live nearby now._______
3.They’d started dinner when we arrived.
a.When we arrived, they began eating._______
b.When we arrived, they were eating.________
c.When we arrived, the meal was finished._______
4.I worked as a travel courier for several years.
a.I’m a travel courier now.______
b.I used to be a travel courier.______
c.I was a travel courier at one time.________
Mimi binafsi nilijaribu kufanya ila instruction imenichanganya maana maswali ni ya kuchagua halafu tena tuandike true or false nikahisi sijaelewa
Test your understanding of tenses!
Look at the sentences below. Are the statements True (T), False (F) or Not sure (NS)?
1.We used to go to Kigoma for our holiday.
a.We went to Kigoma once._______
b.We went to Kigoma more than once.________
c.We go to Kigoma now._______
2.If my parents lived nearby, we could see them more often.
a.My parents live nearby.________
b.My parents used to live nearby.______
c.My parents don’t live nearby now._______
3.They’d started dinner when we arrived.
a.When we arrived, they began eating._______
b.When we arrived, they were eating.________
c.When we arrived, the meal was finished._______
4.I worked as a travel courier for several years.
a.I’m a travel courier now.______
b.I used to be a travel courier.______
c.I was a travel courier at one time.________
Nakupongeza kwa somo lako aisee wengine tulikuwa tunahusudu Masomo ya Sayansi kuliko LughaHabari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu .
View attachment 1031445g
Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au litafanyika .
Katika kiingereza kuna tenses ( nyakati ) kuu tatu , ambazo ni :
The present tense ( wakati uliopo)
The past tense ( wakati uliopita )
The future tense ( wakati ujao )
Na kila tense imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo : simple , continous , perfect na continous perfect.
1. PRESENT TENSE ( Wakati uliopo )
I. Simple present tense
II. Present continous tense
III. Present perfect tense
IV. Present perfect continuous tense
2. PAST TENSE ( Wakati uliopita )
I. Simple past tense
II. Past continuous tense
III. Past perfect tense
IV. Past perfect continuous tense
3. FUTURE TENSE ( Wakati ujao )
I. Simple future tense
II. Future continuous tense
III.Future perfect tense
IV. Future perfect continuous tense
Leo tuanze na "simple present tense "
Simple present tense -huu ni wakati ambao unaonyesha vitendo ambavyo vinafanyika kila siku au vya mazoea. Vitenzi ( verbs ) ambavyo vinatumika
katika wakati huu havibadiliki isipokuwa katika nafsi ya tatu umoja .
Zifahamu Nafsi
Nafsi ya kwanza : I ( mimi )
Nafsi ya pili : You ( wewe )
Nafsi ya tatu : He / she / it ( yeye
WINGI
Nafsi ya kwanza : We ( sisi )
Nafsi ya pili : You ( ninyi )
Nafsi ya tatu : They ( wao )
Examples :
I sing songs = > huwa naimba nyimbo
You sing songs = > huwa unaimba
nyimbo
He sings songs = > huwa anaimba nyimbo
She sings songs = > huwa anaimba nyimbo
It sings songs = > huwa anaimba nyimbo
We sing songs = > huwa tunaimba nyimbo
You sing nyimbo = > huwa mnaimba nyimbo
They sing songs = > huwa wanaimba nyimbo
#Kwa nafsi ya tatu umoja , hapa
nazungumzia : ( He , she na it ) ambapo hawa vitenzi vyao vinabadilika vinakuwa vinaongezewa S , ES au IES .
Mfano : take / takes , do / does / fry / fries .
SHERIA YA KUBADILISHA VITENZI ( VERBS ) .
Vitenzi ( verbs ) vingi huwa vinaongezewa " S " tu . Mfano : Seem / seems , look / looks , take / takes .
Kwa vitenzi ambavyo vinaishia na O huwa tunaongezea - ES . Mfano : Go / goes / , do / does , veto / vetoes ) .
Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na - S , - Z , - CH , -SH na - X , hapa huwa tunaongezea " ES " . Mfano : Punch / puches , wash / washes , kiss / kisses , fizz / fizzes , mix / mixes )
Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na sauti ya konsonant alafu mbele zimeishia na - Y huwa tunatoa Y alafu tunaongeza
IES , Mfano : ( Hurry/ hurries , Clarify / clarifies )
Ila kwa vitenzi ambavyo vimeishia sauti ya irabu ( vowel ) huwa tunaongeza " S " tu mbele . Mfano : ( Play / plays , enjoy / enjoys )
KUMBUKA : Kanuni zote za hapo juu zinatumika katika nafsi ya tatu umoja tu ( He , she na It ) .
Kwa nafsi zingine zote vitenzi huwa havibadiliki .
MIUNDO YA SENTENSI KATIKA TENSE HII .
1. Kwa sentensi za kukubali / chanya :
SUBJECT + MAIN VERB
I wake up at 6 AM
( Huwa naamka saa 12 asubuhi )
You wake up at 6 AM
( Huwa unaamka saa 12 asubuhi )
He wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )
She wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )
2. Kwa sentensi za kukanusha
SUBJECT + DOESN'T/ DON'T + MAIN VERB
Ufafanuzi :
DOESN'T - inatumika kwa nafsi ya tatu umoja , yani He, she na It .
DON'T - inatumika kwa nafsi
KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOESN'T basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .
Pia :
Does not = Doesn't
Do not = Don't
KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOES basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .
Examples :
-I do not wake up at 6 AM
( Huwa siamki saa 12 asubuhi )
-You don't wake up at 6 AM
( Huwa hauamki saa 12 asubuhi )
-He does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )
-She doesn't wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )
- It does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )
- We do not wake up at 6 AM
( Huwa hatuamki saa 12 asubuhi )
They don't wake up at 6 AM
( Huwa hawaamki saa 12 asubuhi)
3. Sentensi za kuuliza maswali
DO / DOES + SUBJECT + MAIN VERB
Examples :
Do you live here ?
( Je unaishi hapa ? )
Does he like this t-shirt ?
( Je anaipenda fulana hii ? )
Jinsi ya kujibu
-Yes I do .
-Yes he does .
-Yes she does .
Mifano zaidi
She loves her mother
( anampenda mama yake )
He eats banana
( Hula ndizi )
I drive a car
( ninaendesha gari )
You like this movie
( unaipenda muvi hii )
They hate us
( wanatuchikia )
Source : www.englishkona.com
Kwa leo tuishie hapa....tutaendelea .
WhatsApp : 0767329643
NOTE : Huu uzi utakuwa unasasishwa kila mara .
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu .
View attachment 1031445g
Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au litafanyika .
Katika kiingereza kuna tenses ( nyakati ) kuu tatu , ambazo ni :
The present tense ( wakati uliopo)
The past tense ( wakati uliopita )
The future tense ( wakati ujao )
Na kila tense imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo : simple , continous , perfect na continous perfect.
1. PRESENT TENSE ( Wakati uliopo )
I. Simple present tense
II. Present continous tense
III. Present perfect tense
IV. Present perfect continuous tense
2. PAST TENSE ( Wakati uliopita )
I. Simple past tense
II. Past continuous tense
III. Past perfect tense
IV. Past perfect continuous tense
3. FUTURE TENSE ( Wakati ujao )
I. Simple future tense
II. Future continuous tense
III.Future perfect tense
IV. Future perfect continuous tense
Leo tuanze na "simple present tense "
Simple present tense -huu ni wakati ambao unaonyesha vitendo ambavyo vinafanyika kila siku au vya mazoea. Vitenzi ( verbs ) ambavyo vinatumika
katika wakati huu havibadiliki isipokuwa katika nafsi ya tatu umoja .
Zifahamu Nafsi
Nafsi ya kwanza : I ( mimi )
Nafsi ya pili : You ( wewe )
Nafsi ya tatu : He / she / it ( yeye
WINGI
Nafsi ya kwanza : We ( sisi )
Nafsi ya pili : You ( ninyi )
Nafsi ya tatu : They ( wao )
Examples :
I sing songs = > huwa naimba nyimbo
You sing songs = > huwa unaimba
nyimbo
He sings songs = > huwa anaimba nyimbo
She sings songs = > huwa anaimba nyimbo
It sings songs = > huwa anaimba nyimbo
We sing songs = > huwa tunaimba nyimbo
You sing nyimbo = > huwa mnaimba nyimbo
They sing songs = > huwa wanaimba nyimbo
#Kwa nafsi ya tatu umoja , hapa
nazungumzia : ( He , she na it ) ambapo hawa vitenzi vyao vinabadilika vinakuwa vinaongezewa S , ES au IES .
Mfano : take / takes , do / does / fry / fries .
SHERIA YA KUBADILISHA VITENZI ( VERBS ) .
Vitenzi ( verbs ) vingi huwa vinaongezewa " S " tu . Mfano : Seem / seems , look / looks , take / takes .
Kwa vitenzi ambavyo vinaishia na O huwa tunaongezea - ES . Mfano : Go / goes / , do / does , veto / vetoes ) .
Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na - S , - Z , - CH , -SH na - X , hapa huwa tunaongezea " ES " . Mfano : Punch / puches , wash / washes , kiss / kisses , fizz / fizzes , mix / mixes )
Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na sauti ya konsonant alafu mbele zimeishia na - Y huwa tunatoa Y alafu tunaongeza
IES , Mfano : ( Hurry/ hurries , Clarify / clarifies )
Ila kwa vitenzi ambavyo vimeishia sauti ya irabu ( vowel ) huwa tunaongeza " S " tu mbele . Mfano : ( Play / plays , enjoy / enjoys )
KUMBUKA : Kanuni zote za hapo juu zinatumika katika nafsi ya tatu umoja tu ( He , she na It ) .
Kwa nafsi zingine zote vitenzi huwa havibadiliki .
MIUNDO YA SENTENSI KATIKA TENSE HII .
1. Kwa sentensi za kukubali / chanya :
SUBJECT + MAIN VERB
I wake up at 6 AM
( Huwa naamka saa 12 asubuhi )
You wake up at 6 AM
( Huwa unaamka saa 12 asubuhi )
He wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )
She wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )
2. Kwa sentensi za kukanusha
SUBJECT + DOESN'T/ DON'T + MAIN VERB
Ufafanuzi :
DOESN'T - inatumika kwa nafsi ya tatu umoja , yani He, she na It .
DON'T - inatumika kwa nafsi
KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOESN'T basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .
Pia :
Does not = Doesn't
Do not = Don't
KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOES basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .
Examples :
-I do not wake up at 6 AM
( Huwa siamki saa 12 asubuhi )
-You don't wake up at 6 AM
( Huwa hauamki saa 12 asubuhi )
-He does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )
-She doesn't wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )
- It does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )
- We do not wake up at 6 AM
( Huwa hatuamki saa 12 asubuhi )
They don't wake up at 6 AM
( Huwa hawaamki saa 12 asubuhi)
3. Sentensi za kuuliza maswali
DO / DOES + SUBJECT + MAIN VERB
Examples :
Do you live here ?
( Je unaishi hapa ? )
Does he like this t-shirt ?
( Je anaipenda fulana hii ? )
Jinsi ya kujibu
-Yes I do .
-Yes he does .
-Yes she does .
Mifano zaidi
She loves her mother
( anampenda mama yake )
He eats banana
( Hula ndizi )
I drive a car
( ninaendesha gari )
You like this movie
( unaipenda muvi hii )
They hate us
( wanatuchikia )
Source : www.englishkona.com
Kwa leo tuishie hapa....tutaendelea .
WhatsApp : 0767329643
NOTE : Huu uzi utakuwa unasasishwa kila mara .
Hiyo sentence namba 1 sahihi yake ni we used to go to kigoma for an holday(sio for a holiday) kwa nlivyojifunza hapo juuTest your understanding of tenses!
Look at the sentences below. Are the statements True (T), False (F) or Not sure (NS)?
1.We used to go to Kigoma for our holiday.
a.We went to Kigoma once._______
b.We went to Kigoma more than once.________
c.We go to Kigoma now._______
2.If my parents lived nearby, we could see them more often.
a.My parents live nearby.________
b.My parents used to live nearby.______
c.My parents don’t live nearby now._______
3.They’d started dinner when we arrived.
a.When we arrived, they began eating._______
b.When we arrived, they were eating.________
c.When we arrived, the meal was finished._______
4.I worked as a travel courier for several years.
a.I’m a travel courier now.______
b.I used to be a travel courier.______
c.I was a travel courier at one time.________
Hiyo sentence namba 1 sahihi yake ni we used to go to kigoma for an holday(sio for a holiday) kwa nlivyojifunza hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, holiday ina consonant sound, inatamkwa hivyohivyo na h yakeHiyo sentence namba 1 sahihi yake ni we used to go to kigoma for an holday(sio for a holiday) kwa nlivyojifunza hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, holiday ina consonant sound, inatamkwa hivyohivyo na h yake
Ooh basi mkuu uko sahihi nimepata kitu,kumbe a,b,c,d,e mpaka z ndo consonant alaf irabu ndo a,e,i,o,uAsante.Ngoja tumsikie huenda ana hoja. Mimi kaniacha kabisa kwa kweli.
Hamna Hoja hapo mkuu...A holiday ni sahihi...Asante.Ngoja tumsikie huenda ana hoja. Mimi kaniacha kabisa kwa kweli.
Ooh basi mkuu uko sahihi nimepata kitu,kumbe a,b,c,d,e mpaka z ndo consonant alaf irabu ndo a,e,i,o,u
Sent using Jamii Forums mobile app