Jifunzeni kwa Idd Amin Dada

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Huwa naangalia hii video hata Mara 3 kwa siku sipati jibu , naishia kupata wasiwasi maana siamini. Huyu jamaa alikua na maamuzi ya kijasirini hata kuamuru askari kuwapiga risasi wale wasio tii. speech yake IPO kikamanda kabisa. RIP idd amin Dada. Waganda hawata kusasahu japo hukuwa mwansiasa mzuri.
 
Huyo alikuwa Dikteta kama madikteta wengine.
Alitawala kwa Upanga na alikufa kwa Upanga.Hiyo ndio sheria ya Madikteta wote duniani.
 
Huyo alikuwa Dikteta kama madikteta wengine.
Alitawala kwa Upanga na alikufa kwa Upanga.Hiyo ndio sheria ya Madikteta wote duniani.
Alifia uhamishoni huko saudi arabia.Je, kifo chake kilitokana na kuuwawa? Hebu nijulishe vizuri maana ya usemi uliotumia wa:"Alitawala kwa upanga na alikufa kwa upanga"
 
Mmmhh huyo ndo India Amin . Kumbe kuna wakati alikuwa na akili?
 
[emoji23] [emoji23] unenikumbusha hii documentary nitaipitia yote tena.

Nacheka sana hapo anavyoelekeza namna ya kumshuhulikia spy atakayekamatwa akiwa anaspy.
 
Madikteta wamezisaidia nchi zao kupiga hatua sema uyu jamaa alikua hana elimu
 
Ndio,
Mfano mzuri ni Muammar Mohammed Abu Minyar Gaddafi aliwafanyia Libya vitu vingi vizuri,
Pia alikuwa Rafiki Mkubwa wa Idd Amin Dada.
MNA aminishwa tuu, alicho waibia walibya ni kikubwa kuliko alicho wafanyia, Libya ni nchi tajiri sana.
 
MNA aminishwa tuu, alicho waibia walibya ni kikubwa kuliko alicho wafanyia, Libya ni nchi tajiri sana.
Utajiri wa Libya una maana gani kwa Walibya hivi sasa ukilinganisha na wakati wa Ghadafi?? Hata kama aliwaibia, aliwalisha.
 
Tafuteni hotuba za Adolph Hitler. Nguvu alizokuwa anatumia kuongea kama vile mkulima anayepiga jembe. Jambo dogo anakiongelea kwa nguvu nyingi sana.
 
Alifia uhamishoni huko saudi arabia.Je, kifo chake kilitokana na kuuwawa? Hebu nijulishe vizuri maana ya usemi uliotumia wa:"Alitawala kwa upanga na alikufa kwa upanga"
HAKUFA KWA UPANGA NI OWONGO TU!
RIP IDD AMIN DADA
 
Utajiri wa Libya una maana gani kwa Walibya hivi sasa ukilinganisha na wakati wa Ghadafi?? Hata kama aliwaibia, aliwalisha.
Well said
...masikini walibya wamelaanika milele. ..walichezea shilingi chooni. ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…