Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
uvimbe kwenye mapafu na tumbo maana kwenye Lipstick kuna vyuma vya cadmium, aluminum, chromium n.k ambayo vina link na cancer na allergy kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii kwel kabsi ni hatari.Ukimnyonya busu mwanamke akiwa amepaka Lipstick jiandae kuwa na tatizo la figo (disorder),
uvimbe kwenye mapafu na tumbo maana kwenye Lipstick kuna vyuma vya cadmium, aluminum, chromium n.k ambayo vina link na cancer na allergy kabisa
Haya subiri wazinzi waje. Wengine hii habari haituhusuUkimnyonya busu mwanamke akiwa amepaka Lipstick jiandae kuwa na tatizo la figo (disorder),
uvimbe kwenye mapafu na tumbo maana kwenye Lipstick kuna vyuma vya cadmium, aluminum, chromium n.k ambayo vina link na cancer na allergy kabisa
Vipi kuhusu lip gloss?Ukimnyonya busu mwanamke akiwa amepaka Lipstick jiandae kuwa na tatizo la figo (disorder),
uvimbe kwenye mapafu na tumbo maana kwenye Lipstick kuna vyuma vya cadmium, aluminum, chromium n.k ambayo vina link na cancer na allergy kabisa
Hii imeenda🤣Something has to kill a man. Sitaki kuishi miaka 1000 hapa.
umeamua kuwachokoza wazinzi😀😀Ukimnyonya busu mwanamke akiwa amepaka Lipstick jiandae kuwa na tatizo la figo (disorder),
uvimbe kwenye mapafu na tumbo maana kwenye Lipstick kuna vyuma vya cadmium, aluminum, chromium n.k ambayo vina link na cancer na allergy kabisa
Mkuu maradhi ya kurithi yanayo dawa zake tunaweka imani potofu kuwa hakuna tiba ya maradhi ya kurithi wakati kuna matibabu yake maradhi ya kurithi.hii kwel kabsi ni hatari.
naomba kuuliza Herbalist Dr MziziMkavu hivi kuna tiba ya maradh ya kurithi? kwa mfano hawa unasikia ana sukari presha au siko seli ya kurithi je kuna namna mtu wa hv anaweza kutibiwa akapona kabisa na ili pia asije na yeye kurithisha kizaz chake?