Sioni ajabu ya hicho mtoa mada anachosema. Kushikwa au kutomaswa ni ishu ya kawaida. Ajabu ni huyo mteja
...ooohhh yeah, ....
...wakianza 'utekenyaji' hamishia mawazo yako msibani!
Ati nini?
Hahaha unajua biashara matangazo, sasa binti anatangaza ni nini anaweza jamaa kajua ndo bidhaa kabisa akajipimia mwenyewe kwa gharama ya kufedhehesha utu wake. Mifadhaiko si jambo jema.
Ninachoshauri ni kwamba tunapoenda kuzifuata huduma hizi tuwe wawazi ni nini haswa twahitaji fanyiwa na kitu gani kiwe ni mwiko. Nakumbuka kuna siku nilienda na mama watoto sasa katika ile harakati ya kufanyiwa scrub nilipitiwa mpaka na kausingizi kidogo yeye akawa anaangalia, tulivotoka pale break ya kwanza ilikuwa ni duka la vipodozi kununua vifaa vyote vya kufanyia hayo mambo...ilikuwa ni suluhu njema kabisa...![/QUOTE]
hii ndio solution, sasa huduma utazipata home free of charge!
Jana jioni nilienda kwenye Barber Shop moja pale mitaa ya Sinza kwa lengo la kupata huduma ya hair cut, hapo nikakutana na kisa hiki..
Wakati mimi naendelea kunyolewa pembeni yangu alikuwa amekaa jamaa mmoja akifanyiwa scrubbing na mrembo mmoja muhudumu wa saluni ile, kwakuwa alikuwa pembemi yangu kidogo tu nilisikia mazungumzo yote ya yule dada na yule jamaa, nikasikia jamaa akianza kutupa ndoano kwa yule binti, mara nikasikia akiomba namba ya simu, sikuelewa lengo la yule binti lakini mambo aliyokuwa akimfanyia yule jamaa ndio yaliniacha hoi maana mara amtekenye masikioni, mara hivi mara vile, nikaanza kuona yule bwana akihangaisha miguu yake, mara ainyooshe, mara itake kukunja nne, wakati yule mrembo akiendelea na utundu wake mara nikamwona yule jamaa akijikakamua kama vile anasikilizia raha fulani hivi huku akitoa miguno ya mahaba, kumbe jamaa alikuwa anaharibu kwenye suruali.,yule binti akahamaki kwa mshangao na yule bwana kwa aibu akakatisha zoezi la scrub akalipa na kuondoka zake huku akiacha kicheko na gumzo nyuma..
Waungwana kwa kweli kama mtu anajijua hawezi kuhimili mihemko yake basi ni vyema akawepa huduma ya wale warembo wa kwenye saluni za kiume, watakuaibisha.
hii ndio solution, sasa huduma utazipata home free of charge!
Jana jioni nilienda kwenye Barber Shop moja pale mitaa ya Sinza kwa lengo la kupata huduma ya hair cut, hapo nikakutana na kisa hiki..
Wakati mimi naendelea kunyolewa pembeni yangu alikuwa amekaa jamaa mmoja akifanyiwa scrubbing na mrembo mmoja muhudumu wa saluni ile, kwakuwa alikuwa pembemi yangu kidogo tu nilisikia mazungumzo yote ya yule dada na yule jamaa, nikasikia jamaa akianza kutupa ndoano kwa yule binti, mara nikasikia akiomba namba ya simu, sikuelewa lengo la yule binti lakini mambo aliyokuwa akimfanyia yule jamaa ndio yaliniacha hoi maana mara amtekenye masikioni, mara hivi mara vile, nikaanza kuona yule bwana akihangaisha miguu yake, mara ainyooshe, mara itake kukunja nne, wakati yule mrembo akiendelea na utundu wake mara nikamwona yule jamaa akijikakamua kama vile anasikilizia raha fulani hivi huku akitoa miguno ya mahaba, kumbe jamaa alikuwa anaharibu kwenye suruali.,yule binti akahamaki kwa mshangao na yule bwana kwa aibu akakatisha zoezi la scrub akalipa na kuondoka zake huku akiacha kicheko na gumzo nyuma..
Waungwana kwa kweli kama mtu anajijua hawezi kuhimili mihemko yake basi ni vyema akawepa huduma ya wale warembo wa kwenye saluni za kiume, watakuaibisha.
Noted Kingi, pamoja na kwamba huyo mteja inaonekana alikuwa dhaifu sana, cha kujiuliza ni kwamba ni nini lengo la yule binti kumtomasa yule jamaa kimahaba mamna ile, scrub inahusianaje na kutekenywa masikio kama sio visa tu vya huyo mdada.
Ati nini?
wangu nitamfanyia hizo manicure pedicure sijui scrub mwenyewe!!!! Mwe!!! saluni atakuwa anaziona paa!!
According to the real meaning maana ya kufanyiwa facial ni kurelax misuli yote ya sura (kitaalamu tunaiita stress points) sasa kwa wale waliosomea watajua kuwa masikio ni erogenous zones na huwa tunachunguza mtu anapokuja.
Wale wadada hawana elimu hii ya kuwa cartilage za masikio ni sexual zones kwa both male and females so wao wanafanya lakini hawajui wanalolisababisha kwa mwanaume.
I can assure you kama mwanaume humpi haki yake ya kutosha nyumbani na akapitia saloon kama ya Mori imekula kwako.
Ladies be warned.
Pombe ya kunywea hom hainogi. Hata mkeo akinunua makokoro yote bado kuna vitu utavimis. Mbona wao hutekenywa miguu na wapaka rangi huko masaluni wanakokwenda? Basi na mume anunue mkoba wa rangi awe anampaka mkewe home