Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Ukiangalia vitu kwa jicho hilo basi na hakika wewe utakua unaishi kwa circulation ndogo sana. Watu wananunua vitu kutoka Ebay UK, Amazon Us na kwengine ulimwenguni ila mtu akinunua apo Kenya unaona ni tatizo?
Hata Jumia na Usmart wao ukaibiwa. Ungeclaim am sure ingekua refundedNiliwahi kuibiwa Milioni Moja kupitia Jumia Market, toka hapo hizi biashara za mtandaoni sifanyi tena. Ht kwa bure tu.
Mkuu nikuulize kwani hizo amazon au ebay ziliamka tuu zikawa world wide?Tofautisha Ebay,Amazon,Ali baba na Kupatana.
Mkuu nikuulize kwani hizo amazon au ebay ziliamka tuu zikawa world wide?
Nakutakia asubuhi njema.
hata mimi, sijui wamepata wapi namba na kujua nna kijana anasubiri kwenda JKTJana nimetumiwa SMS hii:
Habari ya leo sasa kuhusu nafasi uliyoniomba imepatikana tayari JWTZ(TPDF)tunateua kwenda TANAPA mwandae kijana wako aje 2kamilishe utaratib na 2napokea vijana wa mafunzo ya awali kwa mujibu wa sheria niongezee vjana wa2au3 wenye sifa za JKT.
Wife naye katumiwa nimebaki kucheka tu.
Bado tunakuja palepale. Ndo maana wabongo wengi hatuendelei kwa sababu tunalimit possibilities. Hawawezi kumlinda mteja sawa sikatai, je umeambiwa hawatoweza?Kwenda world wide ni mipango ya kampuni na kupatana haiwezi kwasababu haina uwezo wa kumlinda mteja wake kama hizo kampuni nyingine.
Mtu kaandika yuko Dar,unamtext anasema yuko Kenya,unamuliza jina la duka lake anakutajia jina feki halafu unataka kufanya nae biashara wakati kuna kashaonyesha utapeli mpaka hapo?
Ebay,Amazon huwezi kutana na vitu kama hivyo.
Huyo ustadhi unakuta ni kaka ake au ni yeye mwenyewe anakupigia sim [emoji21] pole mkuu. Najua laki mbili zinauma hasa kipindi hiki cha tingatingaM sitosahau jamaa la iringa lilikulaga laki mbili zangu kizembe nilidanganywa na uustadhi wake nikamuamini kumbe ndo najitumbukiza shimoni
Bado tunakuja palepale. Ndo maana wabongo wengi hatuendelei kwa sababu tunalimit possibilities. Hawawezi kumlinda mteja sawa sikatai, je umeambiwa hawatoweza?
Naaamina hata kama kuna memba wakongwe humu watatupa ushuhuda jamii forum ilivoanza ilivokua na sasaivi ikoje.
In short huyu wa iringa hafai kuitwa tapeli. Huyu ni Mwizi kabisaa maana hana hata technique.Kuna siku nliingia kupatana nkakuta kuna mtu anauza laptop flan nkaipenda. So nkachukua namba yake na kwa kua alisema yupo DSM nikampigia. Baada ya maongez akaniambia yeye yupo Iringa maeneo ya kihesa, bahat nzuri hapo kihesa nina mdogo wangu anaish huko nikamconnect nae akaone mzigo then ikiwa fine mimi nitume pesa kwa dogo achukue mzigo. Dogo baada ya kumpigia jamaa akabadili tena location akasema yupo Tunduma. Ilibidi nicheke kwa kujua matapel wako kwenye harakat zao. So far mim na kupatana tumeshatalakiana.
In short huyu wa iringa hafai kuitwa tapeli. Huyu ni Mwizi kabisaa maana hana hata technique.
Huwezi kunielewa mkuu na sio kosa lako.Naona unajichanganya tu.
Huwezi kunielewa mkuu na sio kosa lako.
Nilijionaga mjinga Mara mbili make isingekuwa tamaa nisingeliwa afu kupenda vitu cheap na kingine kimwamini mtu nisiyemjua kisa anajua vifungu vya quranHuyo ustadhi unakuta ni kaka ake au ni yeye mwenyewe anakupigia sim [emoji21] pole mkuu. Najua laki mbili zinauma hasa kipindi hiki cha tingatinga
Haya ngoja nikupe ushindi ili utulie. Sijielewi mimiTatizo ujielewi.
Haya ngoja nikupe ushindi ili utulie. Sijielewi mimi
Yaani mkuu watu wengi wanakunjuaga wakishatajiwa au kuambiwa kua "MIMI NI MTU WA MUNGU" yaani hapo ndo unakuta maskini mtu unamuamini alafu ndo anakupiga pigo moja mithili ya judoNilijionaga mjinga Mara mbili make isingekuwa tamaa nisingeliwa afu kupenda vitu cheap na kingine kimwamini mtu nisiyemjua kisa anajua vifungu vya quran
Ndo hivyo nilikuwaga sijawai tapeliwa ila tangu siku ile akili ilinikaa sawaYaani mkuu watu wengi wanakunjuaga wakishatajiwa au kuambiwa kua "MIMI NI MTU WA MUNGU" yaani hapo ndo unakuta maskini mtu unamuamini alafu ndo anakupiga pigo moja mithili ya judo