Jihadharini na matapeli wanaotoa Internet Kitonga

Jihadharini na matapeli wanaotoa Internet Kitonga

namimi07

Member
Joined
Oct 27, 2018
Posts
58
Reaction score
68
Habari zenu jamani! Mimi kuna rafiki yangu kanipigia leo akilia sana kwa sababu katapeliwa na hii account inaitwa @unlimited_bundlez instagram. Namba yake ya simu ni 0698128458. Mkiiona hio account na namba nawaombeni msijaribu kufanya mawasiliano na hio namba. Ili kujihadhari na watu kama hawa

1. Hakikisha ana kutumia huduma kwanza. Hii huwa wanabisha sana

2. Sikiliza kauli za mtoa huduma. Wale spiritualist wanakuambia watu wana low vibration basi wanamakasiriko pro max.

3. Bidhaa ikionekana cheap, ujue kuna shida automatically

Mengine, wanajamii forum watajiongeza zaidi kwenye uzi.
 

Attachments

  • IMG_4683.jpeg
    IMG_4683.jpeg
    220.3 KB · Views: 6
Habari zenu jamani! Mimi kuna rafiki yangu kanipigia leo akilia sana kwa sababu katapeliwa na hii account inaitwa @unlimited_bundlez instagram. Namba yake ya simu ni 0698128458. Mkiiona hio account na namba nawaombeni msijaribu kufanya mawasiliano na hio namba. Ili kujihadhari na watu kama hawa

1. Hakikisha ana kutumia huduma kwanza. Hii huwa wanabisha sana

2. Sikiliza kauli za mtoa huduma. Wale spiritualist wanakuambia watu wana low vibration basi wanamakasiriko pro max.

3. Bidhaa ikionekana cheap, ujue kuna shida automatically

Mengine, wanajamii forum watajiongeza zaidi kwenye uzi.
Kuna huyu pia kanitapeli 15000 anatangaza instagram kwamba anaOFA ya weekend gb64 kwa pesa hiyo
+255775765559
 
Back
Top Bottom