Kichwa chajieleza, hichi chuo. Niliwai apply postgraduate course, lakini katika kufatilia nikagundua wanatoa course ambazo hazijasajiliwa, na NACTE wala TCU, nikajaribu kupeleleza kwa mmoja wa staff wao ambaye naye alionyesha kuto rithika na huduma za hapo TPIM , kumbe wana madudu mengi, ambayo serikali haijayaona, kuweni makini na hivi vyuo vya uchocholoni,