Niliingia huo mziki hapo mwenge kampuni ya matank ya kiboko mbona nilikimbia miez miwili tu , kazi ngumu mshahara wa elf-5 kwa siku hapo bado nauli juu yako kula Kwa koponi chakula hakilizishi, kila siku ugali maharage ijumaa ndio mnakula wali- ilikuwa nomaa Na kazi mpaka upate lazima uonge pesa, wadada wanachezea sana Kwa maajent ili wapate kazi, hatari
Nilipiga miezi yangu miwili tu nikarudi mishe mishe zangu kariakoo
Watanzania tunaburuzwa sanaa na wahindi/wazungu yaani inshort wageni, wanatunyayasa sanaa, serikali isipopitia hivyo viwanda vizur tutaendelea kuteseka na tupo kwetu maana hakuna haki kabsa
Humo watu wamechoka kinoma, usiwe mtu wa mbususu utakufa maana mademu wanechoka hatari watu wanapokezana tu Na unaambiwa maboss pia wameruka nao yaani kama kijiwe cha ngono niliambiwa kabsa mademu wanaohisiwe wana ngoma
Mlipaji mishahara alikuwa SHOGA- sijui kama bado yupo mpaka sasa hivi ila anazinga la bodi jitu la mazoezi alaf shoga