Jiji la Mbeya hoi taabani

Jiji la Mbeya hoi taabani

Vmatongo

Senior Member
Joined
Dec 8, 2021
Posts
158
Reaction score
240
Nani atalitendea haki jiji hili ambalo kila siku linarudi nyuma badala ya kwenda mbele, wananchi wa jiji hili waliamini kwamba kumchagua Tulia kungeleta nafuu barabara zingejengwa ikiwepo hii barabara kubwa ya kuelekea Tunduma lakini wapi hali inazidi kuwa mbaya sana!

Kitu ambacho kinashangaza Tulia Aksoni hata yeye hajui afanye nini ametulia kama jina lake lilivyo anawaza uchaguzi tu lakini jiji linazidi kudorola.

Pale uhindini toka palivyoungua kile kisoko mpaka leo zaidi ya miaka 15 halmashauri ya jiji haijui ifanye nini!

Maji bado ni mgogoro mkubwa.
Bara bara zipo zinajifia.
Ajali hadi wananchi wameamua kutumia ushirikina kupunguza ajali

Tulia usiishie kugawa bajaji tatua changamoto zilizopo hapo Mbeya mjini.
 
Nani atalitendea haki jiji hili ambalo kila siku linarudi nyuma badala ya kwenda mbele, wananchi wa jiji hili waliamini kwamba kumchagua Tulia kungeleta nafuu barabara zingejengwa ikiwepo hii barabara kubwa ya kuelekea Tunduma lakini wapi hali inazidi kuwa mbaya sana!

Kitu ambacho kinashangaza Tulia Aksoni hata yeye hajui afanye nini ametulia kama jina lake lilivyo anawaza uchaguzi tu lakini jiji linazidi kudorola.

Pale uhindini toka palivyoungua kile kisoko mpaka leo zaidi ya miaka 15 halmashauri ya jiji haijui ifanye nini!

Maji bado ni mgogoro mkubwa.
Bara bara zipo zinajifia.
Ajali hadi wananchi wameamua kutumia ushirikina kupunguza ajali

Tulia usiishie kugawa bajaji tatua changamoto zilizopo hapo Mbeya mjini.
Wao waliamin kuwa wakimchagua tulia akson watatua matatizo lakin, lakin ukiangalia ni hali ya jiji hilo lilivyo wajuaji wengi ssna
 
Tulia Acson ame-underperform kuliko wabunge wote waliowahi kuiongoza Mbeya..
 
Zaidi ya kuliburuza bunge kama spika wa bunge, hakuna lolote la maana ambalo amefanya
 
Wao waliamin kuwa wakimchagua tulia akson watatua matatizo lakin, lakin ukiangalia ni hali ya jiji hilo lilivyo wajuaji wengi ssna
Tulia hakuchaguliwa Sema wao waliamini wakimtangaza Tulia atatatua matatizo.....
 
Nani atalitendea haki jiji hili ambalo kila siku linarudi nyuma badala ya kwenda mbele, wananchi wa jiji hili waliamini kwamba kumchagua Tulia kungeleta nafuu barabara zingejengwa ikiwepo hii barabara kubwa ya kuelekea Tunduma lakini wapi hali inazidi kuwa mbaya sana!

Kitu ambacho kinashangaza Tulia Aksoni hata yeye hajui afanye nini ametulia kama jina lake lilivyo anawaza uchaguzi tu lakini jiji linazidi kudorola.

Pale uhindini toka palivyoungua kile kisoko mpaka leo zaidi ya miaka 15 halmashauri ya jiji haijui ifanye nini!

Maji bado ni mgogoro mkubwa.
Bara bara zipo zinajifia.
Ajali hadi wananchi wameamua kutumia ushirikina kupunguza ajali

Tulia usiishie kugawa bajaji tatua changamoto zilizopo hapo Mbeya mjini.
Mbeya itakombolewa na wenye Uchungu nayo , Mamluki hawatasaidia kitu
 
Back
Top Bottom