Jiji la Mwanza Sikio la Kufa lililokosa Dawa

Jiji la Mwanza Sikio la Kufa lililokosa Dawa

kingunge wa jf

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
464
Reaction score
447
Wakati mitihani ya midterm ikiendelea walimu wengi wameonekana wapo kwenye ukumbi wa jiji wakiwa wameitwa kuhakiki madai yao. Idadi ya walimu ni kubwa. Almost kama wote wameondoka vituoni wapo ofisi za jiji la Mwanza.
Taarifa za walimu wengi hazionekani japo walikuwa wamejaza vendor form.

Imagine zaidi ya walimu 2,000 wapo jiji. Kazi haziendi tena vituoni. Je kuna haja gani ya walimu wote kwenda jiji badala watumishi wanaohusika kuenda vituoni...
 
Kila la kheri zao...
Wanajisumbua tu hao watu wa utumishi na hazina hawana utayari wa kulipa hayo madai hata kama yakihakikiwa.Mara ya mwisho kulipwa kwa watumishi wengi ilikuwa June 2021baada ya hapo wamebaki kulipa mmoja au wawili kila baada miezi kadhaa.Kilio kikubwa ni huko kwenye Mamlaka za serikali za mitaa yalikojaa madai ya hao walimu,manesi ,maafisa ugani na wengine walio kada za chini
 
Back
Top Bottom