hili jiji mniachie mimi🙂🙂Mi naona unamuonea Lukuvi bure. Labda utuambie ni nani aliyelimudu. Makamba? Ditopile?Kandoro?Chipungahelo?............
Mi naona hakuna mwenye afadhali! Wote wamelishindwa kama huyu bwana mkubwa Lukuvi.
Mimi naona huyu Lukuvi ndio limemshinda kabisaaa.Wenzake hawakuliweza lakini yeye amazidi.Jiji linanuka uvundo.ameshindwa kabisa kuwasimamia wenyeviti wa mitaa.Hata Morogoro inaishinda Dar kwa mbali sana,yani ni pasafi sana huwezi kuamini.Mi naona unamuonea Lukuvi bure. Labda utuambie ni nani aliyelimudu. Makamba? Ditopile?Kandoro?Chipungahelo?............
Mi naona hakuna mwenye afadhali! Wote wamelishindwa kama huyu bwana mkubwa Lukuvi.
si ndo maana nimesema mnikabidhi mimi jamani???/!....hiyo nafasi haimfai mwingine niwekeni mimiMimi naona huyu Lukuvi ndio limemshinda kabisaaa.Wenzake hawakuliweza lakini yeye amazidi.Jiji linanuka uvundo.ameshindwa kabisa kuwasimamia wenyeviti wa mitaa.Hata Morogoro inaishinda Dar kwa mbali sana,yani ni pasafi sana huwezi kuamini.
Kwani mikoa mingine inaweza wana nini na yeye lukuvi anashindwa kwa nini?
Tudhibitishie kama kweli unaweza.......si ndo maana nimesema mnikabidhi mimi jamani???/!....hiyo nafasi haimfai mwingine niwekeni mimi
Kwani Geoff ana ushirika na kina Lowassa?Tudhibitishie kama kweli unaweza.......
anza kwa kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia CCJ jimbo la Kinondoni.........
kwani CCJ na Lowassa ni ndugu moja ?Kwani Geoff ana ushirika na kina Lowassa?
ndiyo.nina usharika na eddoKwani Geoff ana ushirika na kina Lowassa?
Hapana, Geof agombee udiowani ili baadaye achaguliwe kuwa Meya, hapo ndipo atashughulika na jiji lakini akiwa Mbunge wa Kinondoni hatowezaTudhibitishie kama kweli unaweza.......
anza kwa kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia CCJ jimbo la Kinondoni.........
Mhishimiwa Lukuvi alikuwapo Dodoma; ilimshinda pamoja na udogo wa mji ule! Kulikuwa na shimo barabarani karibu kabisa na geti la kuingilia kwenye jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa lilodumu zaidi ya mwaka mzima!
Yaani watu wanaotakiwa kutumwa na yeye hawana hata uthubutu wa kuogopa kutotimiza wajibu wao na msimaizi hana thubutu ya kuwasimamia kutimiza wajibu wao!
Geoff please!!! unataka uwekwe??? wewe si kidume? nani akuweke? au una maana gani hapasi ndo maana nimesema mnikabidhi mimi jamani???/!....hiyo nafasi haimfai mwingine niwekeni mimi
Sasa unataka kutuambia kuitwa mkuu wa mkoa maana yake nini? hao wakuu wa wilaya si wote wanaripoti kwake? ndio maana hata akisafiri mkuu wa wilaya mmojawapo anakaimu nafasi yake.na nijuavyo mimi ukija kwenye masuala ya Mkoa hata raisi yupo chini ya serikali ya mkoa.Lukuvi asilaumiwe kwa matatizo ya jiji ,mfumo wa sasa wa manispaa tatu kila moja na utawala wake kamili na jiji na ofisi ya mkuu wa mkoa inakuwa kama kambare hakuna mdogo wote wana masharubu na kila manispaa inapanga mambo yake ni vizuri jiji likaundwa upya kwa kuweka mfumo mzuri na kulifanya kuwa madaraka na mapato ya kutosha kutokana na vianzia vilivyopo katika jiji mfano bandari ili liweze kutoa huduma muhimu kwa jiji lote na kuboresha miundombinu na mamlaka zinazotoa huduma kama dawasa, tanesco na tanroad mkoa wa dar .ni vizuri ziwe coordinated na jiji na mtendaji wake mkuu apewe meno ya kutosha na kuwe na masterplan itakayo ongoza ukuaji wa dar kwani kwa sasa iliyopo imeshakwisha muda wake.
Lukuvi asilaumiwe kwa matatizo ya jiji ,mfumo wa sasa wa manispaa tatu kila moja na utawala wake kamili na jiji na ofisi ya mkuu wa mkoa inakuwa kama kambare hakuna mdogo wote wana masharubu na kila manispaa inapanga mambo yake ni vizuri jiji likaundwa upya kwa kuweka mfumo mzuri na kulifanya kuwa madaraka na mapato ya kutosha kutokana na vianzia vilivyopo katika jiji mfano bandari ili liweze kutoa huduma muhimu kwa jiji lote na kuboresha miundombinu na mamlaka zinazotoa huduma kama dawasa, tanesco na tanroad mkoa wa dar .ni vizuri ziwe coordinated na jiji na mtendaji wake mkuu apewe meno ya kutosha na kuwe na masterplan itakayo ongoza ukuaji wa dar kwani kwa sasa iliyopo imeshakwisha muda wake.
Hapana haonewi.Sio lazima akoroge lami kwa mikono yake ila alishindwa kusimamia wa chini yake kulifukia shimo hilo.na hii inaonyesha kuwa mambo madogo yaliyopo mlangoni anashindwa itakuwaje mambo makubwa kama jiji la Dar?Nadhani mnamuonea mnyalukolo bure, kwani kutofukiwa kwa mashimo kwenye geti la kuingilia ofisi ya mkuu wa mkoa huko Dodoma ndio ishara kuwa alishindwa kazi? Mbona huko Bagamoyo watu wameiba mamilioni ya mapesa toka kwenye mradi wa barabara ya Msata -Bagamoyo ; na hata kwenye halmashauri yenyewe ya Bagamoyo and yet huko ndiko anakotoka mkuu wa nchi; Je kutoogopa kwa hawa mafedhuli [ DED huteuliwa na Rais] kuwa huko ndiko anatoka kiongozi wa nchi kuna maana Rais ameshindwa kutimiza wajibu wake?
Lukuvi asilaumiwe kwa matatizo ya jiji ,mfumo wa sasa wa manispaa tatu kila moja na utawala wake kamili na jiji na ofisi ya mkuu wa mkoa inakuwa kama kambare hakuna mdogo wote wana masharubu na kila manispaa inapanga mambo yake ni vizuri jiji likaundwa upya kwa kuweka mfumo mzuri na kulifanya kuwa madaraka na mapato ya kutosha kutokana na vianzia vilivyopo katika jiji mfano bandari ili liweze kutoa huduma muhimu kwa jiji lote na kuboresha miundombinu na mamlaka zinazotoa huduma kama dawasa, tanesco na tanroad mkoa wa dar .ni vizuri ziwe coordinated na jiji na mtendaji wake mkuu apewe meno ya kutosha na kuwe na masterplan itakayo ongoza ukuaji wa dar kwani kwa sasa iliyopo imeshakwisha muda wake.