Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Umesoma kadi yake ama unaongea tu mkuu?Number C unasema imetumika mwaka mmoja kiongozi?, kwa sasa tuko E. Hiyo bei ni ngumu kupata mteja huku JF labda FB. Samahani kwa kukukwaza ila pikipiki hiyo ina zaidi ya miaka miwili.
Mkuu zingati matumizi ya Ha na A.Haihuziki
Rudia kusoma mkuu usilazimishe kubadili kichwa cha habari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Pikipiki namba D bado hazijatokaNumber C unasema imetumika mwaka mmoja kiongozi?, kwa sasa tuko E. Hiyo bei ni ngumu kupata mteja huku JF labda FB. Samahani kwa kukukwaza ila pikipiki hiyo ina zaidi ya miaka miwili.
D Zimetoka kitambo sana mkuu tena kwa Mwanza hapa ziko DE... Sijajua kwa Dar ama kwinginekoPikipiki namba D bado hazijatoka
Ova
Zipo E kwa sasa, ninayo ya namba E. Fuatilia vema utajua hilo. Gari ndo bado ziko DPikipiki namba D bado hazijatoka
Ova
Zumaridi anataka pesa ya dhamana. Anauza kinglion yake🤣