Jikinge dhidi ya kikohozi, magonjwa ya mapafu na mafua

Jikinge dhidi ya kikohozi, magonjwa ya mapafu na mafua

Status
Not open for further replies.

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
20210215_133951_0000.png


Epuka moshi kutoka kwenye moto wa kupika kwasababu una vitu vidogo ndani yake ambayo vinaweza kuingia kwenye mapafu na kusababisha ugonjwa

Epuka moshi huo kwa kupikia nje au mahali penye hewa safi ambayo moshi unaweza kuingia na kutoka

20210215_135419_0000.png

Kuna aina ya viini vinavyoitwa bakteria na vingine vinavyoitwa virusi. Virusi husababisha kikohozi na mafua na vinaweza kuuawa kwa kutumia dawa.

Hivyo ukiathiriwa na bakteria au virusi katika mfumo wako wa upumuaji tafadhali nenda kamuone Daktari

20210215_140053_0000.png


Komesha kikohozi, mafua na magonjwa mengine kutoenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine.

Ili kufanikisha hilo hakikisha mikono na vyombo vya chakula na maji ni safi, tumia karatasi maalum au kitambaa safi wakati unakohoa
 
Ahsante sana mkuu Kurzwel

Nje ya mada ni kwamba hiyo DP yako huwa inanikwaza sana
 
View attachment 1702998

Epuka moshi kutoka kwenye moto wa kupika kwasababu una vitu vidogo ndani yake ambayo vinaweza kuingia kwenye mapafu na kusababisha ugonjwa

Epuka moshi huo kwa kupikia nje au mahali penye hewa safi ambayo moshi unaweza kuingia na kutoka

View attachment 1702997
Kuna aina ya viini vinavyoitwa bakteria na vingine vinavyoitwa virusi. Virusi husababisha kikohozi na mafua na vinaweza kuuawa kwa kutumia dawa.

Hivyo ukiathiriwa na bakteria au virusi katika mfumo wako wa upumuaji tafadhali nenda kamuone Daktari

View attachment 1702996

Komesha kikohozi, mafua na magonjwa mengine kutoenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine.

Ili kufanikisha hilo hakikisha mikono na vyombo vya chakula na maji ni safi, tumia karatasi maalum au kitambaa safi wakati unakohoa
Asante Mkuu.
Lakini kazi kweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom