Jikinge na magonjwa yanayoambukiza

Jikinge na magonjwa yanayoambukiza

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210222_132837_0000.png


Safisha kwa kupaka Sanitaiza maeneo ambayo hushikwa mara kwa mara ili kujiepusha na magonjwa ya kuambukiza kama Korona.

Maeneo hayo ni pamoja na meza, vitasa vya mlango, swichi ya umeme, madawati, simu, kicharazio cha kompyuta (keyboard), vyoo, koki ya bomba, na sinki
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom