Jikinge na magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji kwa kuvaa barakoa

Jikinge na magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji kwa kuvaa barakoa

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210217_142119_0000.png


Mfano ya wakati barakoa inahitajika kuvaliwa:

Unapotembelea duka, duka la dawa, Daktari au Hospitali yoyote

Katika mkusanyiko, unapokutana pamoja na marafiki au familia ambao hawaishi nawe

Katika tukio lolote la umma ndani au nje ya jengo, kama vile soko au mkusanyiko

Unaposafiri kwenye basi, teksi au gari lenye watu wengi

Unapotembea kwenye barabara au njia iliyo na watu wengi
 
Upvote 0
Asante, Mkuu kwa uhamasishaji huu wa kuvaa barakoa.

Hata hivyo, zipo shuhuda za watu mbalimbali ambao wametumia barakoa kwa muda mrefu hasa kwa safari ndefu kuhishiwa nguvu!! Imewatokea baadhi ya watu ninao wafahamu! Salama yao ilikuwa kuzivua na kuvuta mpumzi nyingi kuiingiza kifuani na kisha kuitoa taratibu kwa karibu mara kumi! Hii ni kwa mtu anayeelewa chanzo cha kuishiwa nguvu zake! Kwa asiye elewa inaweza kuwa balaa.

Kwa hiyo, mbali na nia njema hiyo kujaribu kudhibiti korona kwa barakoa, wahamasishaji wa matumizi ya mabarakoa wanatakiwa kutoa na maelekezo ya madhara ya uvaaji barakoa na namna ya kuyakabili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom