Ulinunua wapi Boss na lini?Roho inauma nilinunua 120 😅
Mnapatikana wapi?Ndiyo Bei yake hiyo. Lakini sisi tunauza 46,000 tu, kwa sababu kampuni yetu imefadhiliwa kwa kiasi kiasi kidogo na shirika la Kimataifa linaloshughulika na utunzaji wa mazingira.
Alitoa namba yake 0621 149 433 (Morogoro)Mnapatikana wapi?
Linabajet matumizi ya mkaaLina nini cha ziada kama sifa? nimeona watu wanatangaza i ddnt pay attention
ITs true ilikua bei hiyo 120Roho inauma nilinunua 120 😅
Watu wana rohombaya sana! Si umakumbuka hata zile behewa mtumba tuliuziwa moja 2, 500,000,000?Roho inauma nilinunua 120 [emoji28]
Kwenye maonyesho Geita...lilikua lile saizi ya kati. Jiko koa +Ulinunua wapi Boss na lini?
Inasikitisha kwakweli hamna kitu inaumwa kama kitu kuwa overpriced afu hakuna tofauti ya Quality & Quantity na wala haikuwa charity event kusema kuwa kuna msaada nimetoa..Watu wana rohombaya sana! Si umakumbuka hata zile behewa mtumba tuliuziwa moja 2, 500,000,000?
Acha kutukumbusha machungu bhana! Si unajua tulivyo na ugonjwa wa kusahau matukio kwa haraka?Watu wana rohombaya sana! Si umakumbuka hata zile behewa mtumba tuliuziwa moja 2, 500,000,000?
Nangoja JibuLina nini cha ziada kama sifa? nimeona watu wanatangaza i ddnt pay attention
Sehemu Yupo Ana Duka Ama Biashara MtandaoAlitoa namba yake 0621 149 433 (Morogoro)