Ahsante,, nayo Ni pesa! Lakini ujue Nina dharura inayohitaji mtu wa kunisaidia( nikaona Bora niuZe hivi vitu badala ya kuomba msaada...thamani ya hivyo vitu na pesa unayonipa nadhani binasfi unajisikia moyoni kuwa siyo sawa! Na hapa natafuta msaada ,naomba unielewe ndugu yangu( dharura Ni kwa yeyote yaweZa kumkuta.. natanguliza shukrani🙏