Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
Mkuu au ulikopa maana wale jamaa Wana aina Yao ya uuzaji.Kama kichwa habari hapo juu
Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja.
Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi.
Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
View attachment 1983299View attachment 1983300
Unapikia nyanya chungu zote hizo unadhan litaacha kupasuka??Kama kichwa habari hapo juu
Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja.
Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi.
Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
View attachment 1983299View attachment 1983300
[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu unakaanga mpaka chips kweli utaowa wewe?
Aisee poleView attachment 2093844
View attachment 2093845
View attachment 2093846
Leo yamenikuta. Ni asubuhi hata jiko halijawashwa nipo napiga Story nikasikia mlipuko ndani kuja kucheck hali ni hiyo
Hilo umeangushia kitu km kijiko au umezidisha uzitoKama kichwa habari hapo juu
Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja.
Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi.
Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
View attachment 1983299View attachment 1983300
Niuzie hiyo simu kama ni TACHI SKRINI!Kama kichwa habari hapo juu
Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja.
Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi.
Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
View attachment 1983299View attachment 1983300
Hii brand ya aboder inapasuka sana. Langu nalo lilipasuka. Nilienda kwa fundi kubadili kioo hiko ni 30-40k.View attachment 2093844
View attachment 2093845
View attachment 2093846
Leo yamenikuta. Ni asubuhi hata jiko halijawashwa nipo napiga Story nikasikia mlipuko ndani kuja kucheck hali ni hiyo
Now nimeshaoaMkuu unakaanga mpaka chips kweli utaowa wewe?
Ni 30000Hiyo simu ndogo umenunua bei gani?
Kumbe sasa nifanyaje?.Kama kuna sehemu huko chini kuna moto unajipenyeza pasipo hitajika, litavunjika lote polepole.
Safi sana mkuu!Now nimeshaoa
Nilikuwa naishi mwenyewe halafu huku ni kijijini tena mbuganiJitahidi kuwa smart, it seems ur so rough kijana
Sawa mkuu wanguSafi sana mkuu!
Ndo ununue jiko lingine sasa hilo lenye mapengo gawia ndugu.
Hahahahaha unazinguaPika kitimoto hapo ule, achana na maswala ya vioo vya jiko.
Asante sana my dadaPole kaka