neurosurgeon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 369
- 351
BatalamnfyiJamaa alikuwa anashusha nondo balaa
kwa tafiti ipi uloifanya mkuukwa sasa hamna maprofesa tena kuna ma propesa
Haa!
Basi kwangu hata wewe ni wa juzi tu.
Sijaona yeyote aliyemtaja Arnold Temu, Bonaventure Swai, Josephat Mbwiliza wala Isaria Kimambo.
Achilia mbali Vice Chancellor Nicholas Kuhanga.
Profesa Katapa (Mama Katapa) -Statistics
Mh kozi ifutwe yaani ni yeye tu ndio alikuwa anaweza kufundisha mh maajabu hayaNakumbuka tuliomba kozi ifutwe baada ya ule msiba, maana tuliona kama hakuna atakayeweza kutufundisha. na wengi tulienda kusoma hiyo course kwa sababu yake.
Mkuu vipi unamjua Professor Virdrian Grace MasanjaUmenikumbusha Prof. Masenge, lecturer wangu wa Namba (Numerical Analysis) wa kipindi chote. My stay at Udsm sikuwahi kupata au kuona Lecturer aliyeshiba math contents & teaching methodologies zake kama huyu professor. Nimesikia kuwa kastaafu na kwa sasa anafundisha Marian University, Bagamoyo.
Yeah kabisa mama Masanja now Yuko Arusha anafundisha Nelson Mandela institute of TechnologyMsimusahau Prof Masanja; the female mathematician of all time
kwa tafiti ipi uloifanya mkuu
Dr Nerey Mvungiprof Mwinyiuwa je,wapi Prof Chambega
sasa hii ni DIT hii1. Prof John Kondoro
2. Prof Nyahumwa
3. Dr. Mgonja
4. Dr. Kimori
5. Dr. kaena
Prof ShabaKwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.
Prof Shaba
Prof Sarungi
Prof massawe
Dr Ndibalema RIP he was my siblingKwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.
Huyu kamuzola ndo alipata uteuzi akawa Ras.?Prof. Kamuzola wa Statistics na yule mdogo wake wa IDS
Jamaa alinifundisha mambo ya Education management akatwambia Kuna wanafunzi wakimuita Batalamfy.Ila kwenye H na O umezingua.Dr Ndibalema RIP he was my sibling
Napenda kufahamu kutoka kwako je Alikuwa mbobezi wa masomo gani??
Huyu Jamaa Familiya yake yote ni Phd older , nikimaanisha watoto wake.
Nimekupata Mkuu Rip NdibalemaJamaa alinifundisha mambo ya Education management akatwambia Kuna wanafunzi wakimuita Batalamfy.Ila kwenye H na O umezingua.