Alphonce Kagezi
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 338
- 163
TAPA: Ilianzishwa 1955,ingawa vuguvugu la kuanzishwa kwa TAPA kulitokana na TANU.
Vilianzishwa vikundi vya muungano wa wazazi toka kanda ili kusimamia elimu katika shule za wazazi.
1. Mkoa wa Dar es salaam : DAPA & MAPA
2. Mkoa wa Tanga: APA
3. Mkoa wa Kageza zamani (Bukoba): KANYIGO WESTERN LAKE
4. Mkoa wa Mara zamani (Musoma): TWIBOKE
1957 Vikundi vya wazazi kutoka kanda viliunganishwa na kuwa (TAPA) ikakabidhiwa shule 233 zikiwa nawanafunzi 15,000, ndipo TAPA ikasajiriwa katika daftari na selikali ya kikoloni kwa namba 1237 yote yalitokea bada ya selikali ya kikoloni kugundua moja ya malengo ya siri ya kuanzishwaShule za wazazi ni kumfanya mtoto wakitanzania atawaliwe na mkoloni kiutawala lakini sio kutawaliwa (akili) Maana ikiwa utabaki guru kiakili utakuwa na uwezo wa kufikiri, buni njia ya kujikomboa na ukoloni(lilikuwa lengo lisilo katika makalatasi)
Majukumu yaliyoandikwa na kuwa ndio malengi ya wazi ni:-
1. Kusimamia na Kuendesha na kuratibu elimu kwa mtoto wa kitanzania.
2. Kusimamia Malezi nje na ndani ya shule kwa vijana na jamii ya kitanzania.
3. Kulinda kuhifadhi maadili na tamaduni njema za jamii ya Wanzania .
4. Kuanda viongozi wa badaye kwa ustawi wa Tanzania
TAPA: Ilisimamia vilivyo shughuli zake za wazi na za za siri ikiwa nyuma ya TANU na badaye harakati za uanzishwaji uwt zilizo asisiwa na Titi Mohammed maarufu Bibi Titi.
Hatimaye mwaka 1961 Uhuru wa Tanganyika ukapatikana.
Huwezi kuzubgumzia harakati za kudai Uhuru wa Tanganyika bila kuiona TAPA,UWT,TANU YOU THREE GE kwa sasa UVCCM.
NB: Umehifadhi Historia gani? Je unaweza Ku-share na Watanzania ambao hasa kubahatika kuhifadhi chochote kuihusu Tanzania?Shiriki bila kutukana, kudhalilisha, kejeli dharau nk.
*Comments za kujenga na kuimarisha mshikamano au kuweka kumbukumbu sawa ni luksa.
Vilianzishwa vikundi vya muungano wa wazazi toka kanda ili kusimamia elimu katika shule za wazazi.
1. Mkoa wa Dar es salaam : DAPA & MAPA
2. Mkoa wa Tanga: APA
3. Mkoa wa Kageza zamani (Bukoba): KANYIGO WESTERN LAKE
4. Mkoa wa Mara zamani (Musoma): TWIBOKE
1957 Vikundi vya wazazi kutoka kanda viliunganishwa na kuwa (TAPA) ikakabidhiwa shule 233 zikiwa nawanafunzi 15,000, ndipo TAPA ikasajiriwa katika daftari na selikali ya kikoloni kwa namba 1237 yote yalitokea bada ya selikali ya kikoloni kugundua moja ya malengo ya siri ya kuanzishwaShule za wazazi ni kumfanya mtoto wakitanzania atawaliwe na mkoloni kiutawala lakini sio kutawaliwa (akili) Maana ikiwa utabaki guru kiakili utakuwa na uwezo wa kufikiri, buni njia ya kujikomboa na ukoloni(lilikuwa lengo lisilo katika makalatasi)
Majukumu yaliyoandikwa na kuwa ndio malengi ya wazi ni:-
1. Kusimamia na Kuendesha na kuratibu elimu kwa mtoto wa kitanzania.
2. Kusimamia Malezi nje na ndani ya shule kwa vijana na jamii ya kitanzania.
3. Kulinda kuhifadhi maadili na tamaduni njema za jamii ya Wanzania .
4. Kuanda viongozi wa badaye kwa ustawi wa Tanzania
TAPA: Ilisimamia vilivyo shughuli zake za wazi na za za siri ikiwa nyuma ya TANU na badaye harakati za uanzishwaji uwt zilizo asisiwa na Titi Mohammed maarufu Bibi Titi.
Hatimaye mwaka 1961 Uhuru wa Tanganyika ukapatikana.
Huwezi kuzubgumzia harakati za kudai Uhuru wa Tanganyika bila kuiona TAPA,UWT,TANU YOU THREE GE kwa sasa UVCCM.
NB: Umehifadhi Historia gani? Je unaweza Ku-share na Watanzania ambao hasa kubahatika kuhifadhi chochote kuihusu Tanzania?Shiriki bila kutukana, kudhalilisha, kejeli dharau nk.
*Comments za kujenga na kuimarisha mshikamano au kuweka kumbukumbu sawa ni luksa.