Kuna mkaka ana masters ila kampenda mama mmoja alikuwa anapika pombe na ana watoto wakubwa
kazaa nae watoto na badae wamehalalisha, huwez amini, kwa hiyo wengine hawafati pesa kwa hayo mamaza
wanafata penzi, kwa hiyo nakuasa mkaka wakati unaenda kwa huyo mama,ujue kabisa kuna kukwama on the process
sijui utaiweka sura yako wapi mbele ya mama yako wakati unamtambulisha huyo maza