Jimama limenishinda, bora nitafute binti wa kati ya miaka 20 na 30

Sema jamaa siyo mtu wa mazoezi tu, hakuna mwanamke aliyewahi kuniletea jeuri kama hiyo. Watu tunapiga show heavy viwanja vitatu kwa siku na bado wenye viwanja vyao wanaomba poh! et wafanye marekebisho ya uwanja.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji16][emoji16] sio kwa jimama, Kumbuka lina watoto wakubwa ambao unaweza jihusisha nao kinapenz pia
 
Hahaaaa utanyoosha mikono. Dem mtamu ni yule anayekusubir wewe umsumbue na aringe kidogo. Ila kama huyu mmmhh. Hifadhi hii post
 
Atakuua huyo wanaitwaga pepo mahaba nakumbuka mtaa niliokulia kulikuwa kuna wasichana kadhaa wanatabia hizo wanaitwa pepo mahaba.

Sibora huyo limama hao pepo mahaba akiona mwanaume hisia zinaanza kumpanda na akikuzoea atajitongozesha na ukija kwenye swala LA mapenzi hawaridhiki yaani wao mda wote wanataka watwange mchi hawataki pesa wao mchezo tuu. Huwa najiulizaga huwa hawana mambo mengine yakufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hapo umenifumbua akili, maana daah tangu nimezaliwa huyu ndo wa kwanza kuwaza kumkimbia. Wengine wote mpaka "K" zinachemkaga. Af mm sio mnene kiasi hicho na napiga zoezi daily.
Sio kwa adhabu hiyo mzee
 
Nilichokupendea hujapindisha umesema ni wewe mwenyewe[emoji16][emoji16] kuna wale wa rafiki yangu kaniomba ushauri kumbe ni ye mwenyewe🤣🤣


Uzoefu (20-30)
1. Tafuta hela
2. Tafuta hela
3. Tafuta hela...

Lasivyo utamkumbuka jimama lako
 
Umeshindwa kulelewa utaweza kulea kweli? Alafu mwanamke mzee kakushinda mpaka unaandika uzi, balaa la hawa wa 20's si utaita waandishi wa habari?
 
Kero ya majimama ‘desperado’ ni kama hayana cha kupoteza, maisha yalishamaliza hivyo likipata gegedo tu basi murua kabisa.... sasa kijana mwenye malengo unahitaji binti wa ‘kesho’ yako kuliko hili jimama lazima ukimbie.

Nimewahi kuwa nalo ila nilifanikiwa kujinasua, japo hadi leo linanikomalia tena kwa kunijaza kuwa lina ‘hisia kali’ juu yangu haijapata kutokea.... nilikuwa najiona bingwa kinyama siku zingine mkikaa nalo tu kitandani stori za hapa na pale ukilichekesha tu lishakojoa muda mamamae 🤣🤣🤣

Nikaanza kulikwepa ya kwamba nahitaji mahusiano yenye maana sio haya ambayo wanasema sijui hata yanahusiana na nini, nahitaji demu mwenye nitapanda mbegu nivune uzao.... basi likawa linasema linaumia ila inabidi liheshimu na kuniunga mkono.
 
Nilichokupendea hujapindisha umesema ni wewe mwenyewe[emoji16][emoji16] kuna wale wa rafiki yangu kaniomba ushauri kumbe ni ye mwenyewe🤣🤣


Uzoefu (20-30)
1. Tafuta hela
2. Tafuta hela
3. Tafuta hela...

Lasivyo utamkumbuka jimama lako

Nilishazoea hao wadogo napata shida kweli huyu mama.
 

Wewe umenena, the same story. Kwa ambao hawajapitia hao wanaona ni muujuza kukimbia K*ma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…