Pre GE2025 Jimbo la Arusha Mjini sasa limekuwa kama Pombe ya Ngomani, Unanunua Wapambe wakuombe Ugombee Ubunge halafu unawakubalia, Imeisha

Pre GE2025 Jimbo la Arusha Mjini sasa limekuwa kama Pombe ya Ngomani, Unanunua Wapambe wakuombe Ugombee Ubunge halafu unawakubalia, Imeisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bado sijajua Kwanini Wanaccm wa Arusha Mjini wamekuwa Wajinga kiasi cha kutia aibu namna hii, Yaani Diwani mzima baada ya"kununuliwa"anamwaga chozi hadharani kumlilia mtu mgeni na ambaye tayari anacho cheo kingine ili agombee Ubunge!

Huu ni udhalilishaji wa Wana Arusha waliokipigania chama chao kwa miaka yote na kiukweli haukubaliki, Inakuwaje haya mambo mbona ni ya kipumbavu sana!

Mrisho Gambo alipata nafasi ya kugombea Ubunge baada ya ujinga kama huu huu, Sababu kuu iliyompa nafasi hiyo ni kumkomoa Godbless Lema kwa kushirikiana na Dikteta Magufuli!

Soma Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

Hivi Wana Arusha mtakuwa Jamvi la Wageni hadi lini, hivi ni kweli kwamba hamna akili kabisa nyinyi wote?

Kuna Haja ya Nabii wa Mungu Godbless Lema kutafakari upya na kurejea kuwakomboa Wana Arusha waliogeuzwa mifugo na Viongozi wa Mkoa wao, lakini tu ikiwa kutakuwa na Reform, Mambo wanayofanyiwa Watu wa Arusha ni ya Aibu sana na hayakubaliki.
 
Bado sijajua Kwanini Wanaccm wa Arusha Mjini wamekuwa Wajinga kiasi cha kutia aibu namna hii, Yaani Diwani mzima baada ya"kununuliwa"anamwaga chozi hadharani kumlilia mtu mgeni na ambaye tayari anacho cheo kingine ili agombee Ubunge!

Huu ni udhalilishaji wa Wana Arusha waliokipigania chama chao kwa miaka yote na kiukweli haukubaliki, Inakuwaje haya mambo mbona ni ya kipumbavu sana!

Mrisho Gambo alipata nafasi ya kugombea Ubunge baada ya ujinga kama huu huu, Sababu kuu iliyompa nafasi hiyo ni kumkomoa Godbless Lema kwa kushirikiana na Dikteta Magufuli!

Soma Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

Hivi Wana Arusha mtakuwa Jamvi la Wageni hadi lini, hivi ni kweli kwamba hamna akili kabisa nyinyi wote?

Kuna Haja ya Nabii wa Mungu Godbless Lema kutafakari upya na kurejea kuwakomboa Wana Arusha waliogeuzwa mifugo na Viongozi wa Mkoa wao, lakini tu ikiwa kutakuwa na Reform, Mambo wanayofanyiwa Watu wa Arusha ni ya Aibu sana na hayakubaliki.
style kama ile ya mwenyekiti mstaafu wa chadema, right?🐒
 
Bado sijajua Kwanini Wanaccm wa Arusha Mjini wamekuwa Wajinga kiasi cha kutia aibu namna hii, Yaani Diwani mzima baada ya"kununuliwa"anamwaga chozi hadharani kumlilia mtu mgeni na ambaye tayari anacho cheo kingine ili agombee Ubunge!

Huu ni udhalilishaji wa Wana Arusha waliokipigania chama chao kwa miaka yote na kiukweli haukubaliki, Inakuwaje haya mambo mbona ni ya kipumbavu sana!

Mrisho Gambo alipata nafasi ya kugombea Ubunge baada ya ujinga kama huu huu, Sababu kuu iliyompa nafasi hiyo ni kumkomoa Godbless Lema kwa kushirikiana na Dikteta Magufuli!

Soma Pia: Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

Hivi Wana Arusha mtakuwa Jamvi la Wageni hadi lini, hivi ni kweli kwamba hamna akili kabisa nyinyi wote?

Kuna Haja ya Nabii wa Mungu Godbless Lema kutafakari upya na kurejea kuwakomboa Wana Arusha waliogeuzwa mifugo na Viongozi wa Mkoa wao, lakini tu ikiwa kutakuwa na Reform, Mambo wanayofanyiwa Watu wa Arusha ni ya Aibu sana na hayakubaliki.
Ndo maana mpaka Leo hii hamna hata stendi ya maana ya mabasi katika eneo hilo
 
Dunia nzima inafahamu, inasemekana Tanzania ndio nchi iliyosababisha Nchi zingine za kiafrica zinyimwe misaada na Trump
Kwa matumizi ya hovyo ya viongozi wake haiwezekani wanakopa pesa Kwa ajili ya kuhonga wasanii, kulipa machawa, kununua brand new zero kilometers V8 Kila mwaka, wakati bado matundu ya choo ni JANGA Kwa shule zetu, watoto wetu wanajisaidia vichakani huko shule za vijijini huku viongozi wetu wakila mema ya nchi bila wasiwasi, CCM ilaaniwe kabisa
 
Back
Top Bottom