kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,299
- 552
Wakike kama wamama yako au hivi we ng'ombe hiyo post niyalini au umeingia jf juzi pumbavu zako kenge weweMapunga kama nyie natamani niwapasuepasue....unakubali umwinyi eti kisa MTU kakupa unga wa ugali....ndo nyie mliotufikisha hapa waafrika ..kama ww ni mwanaume utakuwa na mapungufu makubwa mno....hufai kuwa ktk jinsia ya kiume maana mtazamo kama wako ni wa kikekike
Tatizo hayo yote aliyotoa ingekuwa marekani angeweza akashitakiwa kwa ugaidi. Hata km ni msaada,kiuchumi hii hesabu haijumlishiki.NI akina ghaddafi tuu ndio kwao hisi hesabu hazina taabu.Mbunge Sued Kagasheki,
1. Mikopo Kwa Kina Mama,
2. Vijana Wanapatiwa Pikipiki Kwa Kurejesha Ela Taratibu, Mwaka Huu Kawapatia Pikipiki 300,
3. Ukarabati Wa Hospitali Ya Mkoa Na Kuwapatia Ambulance Na Kugharamia Mafuta Yake,
4. Bill Ya Umeme Ya Hospitali Zote Na Vituo Vya Watoto Yatima Bado Analipa Yeye
5. Kuwapatia Fursa Vijana Kucheza Ligi Yenye Thaman Ya Mil 35 Kwa Miez 6,
6. Kubadilisha Furniture Za Shule Zote Za Serikali Kila Zinapochakaa
7. Katoa Fursa Ya Ajira Kupitia Vick Fish,
8. Kapambana Na Fisad Aman Anatory Katika Sakata La Viwanja Bukoba
9. Kina Mama Wamepewa Fursa Ya Ufugaji Kila Mama 5 Ng'ombe 1 Bule
10. Kuweka Mitego Ya Radi Kila Shule Kuzuia Vifo Vilivyotokea Siku Za Nyuma, Kaweka Tv Na Umeme Shule Zote, Na Kujenga Darasa Moja Moja Kila Shule,
Je Mlitaka Afanye Nin Zaid Ya Icho? Pia Mmelalamika Eti Anaweza Chukua Ambulance Alizogawa Hospitalin, Nahs Dhana Ya Mabadiliko Hamkuielewa
Ela za bana bsshome tulichanga sisi wewe hukutoa ata kikumi,na ubunge tulimpa bure kabisaaaa.Huyu Lwakatare Alipewa Ubunge Akachangisha Ela Eti ABANA BASHOME akaishia kula ela bila kufanya chochote miaka ile, sasa ndo mmemrejesha
Ela za bana bsshome tulichanga sisi wewe hukutoa ata kikumi,na ubunge tulimpa bure kabisaaaa.
....
....utaisoma namba !!!
....
....utaisoma namba !!!
DuhHajazuiwa kuendelea kuwasaidia wana bukoba...au hiyo misaada malipo yake yalikuwa ubunge....