Jimbo la Buyungu - Kauli Tata za Waliowahi Kuwa Wabunge

Jimbo la Buyungu - Kauli Tata za Waliowahi Kuwa Wabunge

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
WanaJf,
Salaam!
Naenda moja kwa moja kwenye agenda.
(a). 1995 Mbunge wa wakati huo RUHINDA alinukuliwa akisema "Hata mkininyima kura sitavaa kobazi."

(b). 2000 - 2005 mbunge Magayane akanukuliwa akiwaambia wapigakura kuwa "nyani hali kilichopikwa."

(c). 2020 -
Mbunge amenukuliwa akisema kuwa "Mwanaume asiyekuwa na mbuzi, kondoo, au ng'ombe huyo si mwanaume.
Akaongeza kuwa "hakuna mwanaume anayechezea ngoma mwanaume mwenzake."

Lakini pia wakati wa ziara ya JPM aliposimamishwa kuomba nini afanyiwe wilayani kwake aliomba GEREZA, MAHAKAMA, NA POLISI.

Ikiwa unajiandaa kuwa kiongozi jitahidi kuchagua maneno ya kuongea mbele za unaowaongoza. Sijui kauli za viongozi ktk majimbo mengine!WEKA HAPA!
 
WanaJf,
Salaam!
Naenda moja kwa moja kwenye agenda.
(a). 1995 Mbunge wa wakati huo RUHINDA alinukuliwa akisema "Hata mkininyima kura sitavaa kobazi";

(b). 2000 - 2005 mbunge Magayane akanukuliwa akiwaambia wapigakura kuwa "nyani hali kilichopikwa".

(c). 2020 -
Mbunge amenukuliwa akisema kuwa "mwanaume asiyekuwa na mbuzi, kondoo, au ng'ombe huyo si mwanaume.
Akaongeza kuwa "hakuna mwanaume anayechezea ngoma mwanaume mwenzake";
Lkn pia wakati wa ziara ya JPM aliposimamishwa kuomba nini afanyiwe wilayani kwake aliomba GEREZA, MAHAKAMA, NA POLISI.

Ikiwa unajiandaa kuwa kiongozi jitahidi kuchagua maneno ya kuongea mbele za unaowaongoza. Sijui kauli za viongozi ktk majimbo mengine!! WEKA HAPA!!!
Umeacha Mbunge makini Kutoka Chama makini Mwl Bilago 2015- 2020.

Hawezi kuwa kwenye hiyo list ya disgrace
 
WanaJf,
Salaam!
Naenda moja kwa moja kwenye agenda.
(a). 1995 Mbunge wa wakati huo RUHINDA alinukuliwa akisema "Hata mkininyima kura sitavaa kobazi."

(b). 2000 - 2005 mbunge Magayane akanukuliwa akiwaambia wapigakura kuwa "nyani hali kilichopikwa."

(c). 2020 -
Mbunge amenukuliwa akisema kuwa "Mwanaume asiyekuwa na mbuzi, kondoo, au ng'ombe huyo si mwanaume.
Akaongeza kuwa "hakuna mwanaume anayechezea ngoma mwanaume mwenzake."

Lakini pia wakati wa ziara ya JPM aliposimamishwa kuomba nini afanyiwe wilayani kwake aliomba GEREZA, MAHAKAMA, NA POLISI.

Ikiwa unajiandaa kuwa kiongozi jitahidi kuchagua maneno ya kuongea mbele za unaowaongoza. Sijui kauli za viongozi ktk majimbo mengine!WEKA HAPA!
Gereza lili walengwa wapinzani,dola kuhakikisha wazo la mwanzo linatokea,na mwingine mthibitishaji wa utaratibu kuwa unaenda sawa🤔
 
Back
Top Bottom