Pre GE2025 Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa

Pre GE2025 Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Haji Manara akihojiwa na Manara TV amesema kwa sasa hawezi kugombea jimbo la Ilala na mbunge Zungu kutokana na misingi ya heshima waliojiwekea baina yao.

Ameongeza kuwa Zungu ni kama kaka yake kwani wanashirikiana vitu vingi sana na hata akienda Dodoma huwa anafikia kwake. Manara anasema ikiwa Zungu hatagombea, basi atajitosa jimbo la Ilala hata sasa hivi.

Vipi wanaIlala mpo tayari kuwakilishwa na Manara?

 
Ametangaza nia kiaina, baada ya kuulizwa swali elekezi.
 
Haji Manara akihojiwa na Manara TV amesema kwa sasa hawezi kugombea jimbo la Ilala na mbunge Zungu kutokana na misingi ya heshima waliojiwekea baina yao.

Ameongeza kuwa Zungu ni kama kaka yake kwani wanashirikiana vitu vingi sana na hata akienda Dodoma huwa anafikia kwake. Manara anasema ikiwa Zungu hatagombea, basi atajitosa jimbo la Ilala hata sasa hivi.

Vipi wanaIlala mpo tayari kuwakilishwa na Manara?

Haji mara huyu anaemsapoti Mbowe kumbe yeye anaenda kugombea CCM
Najiuliza mbona Kambi Mbowe umejaa CCM.?
 
Back
Top Bottom