bilashaka, mbunge aliye karibu kuzungumza na Rais ni yule mwenye chama alicho Rais husika, ukaribu uliopo huraisisha na hulainisha zaidi kazi
na hiyo ni kutokana na nguvu kubwa ya maendeleo aliyo ifanya Rais hivyo itarahisisha sana kazi kwa wabunge na madiwani wa ccm, ukitazama kila kona ya nchi kuna maenseleo yanafanyika,Bunge lijayo linarudi kuwa la Chama kimoja, naona nguvu kubwa inatumika
Ova
Unajidhalilisha na picha ya avatar umevaa suti kwani unafanya watu wavaa suti tuonekane wajinga. Kupinga huko kwa kina Mdee na Mnyika ndiko kuliko pelekea majimbo yenu yakapata maendeleo tofauti na Mtera, Kongwa au Katavi.Mnyika ni wa ajabu sana mie toka nianze kukaa hii wilaya mara ya mwisho kumuona anazungukia huku ni last election na mbaya zaidi tunachangamoto nyingi ila kila siku tunamuona akipinga kila kitu mbungeni yeye na mdee wapumzike tu maana changamoto zao zinafanana
Miongoni mwa majimbo katika mkoa wa DSM Jimbo la Kibamba ambalo lipo katika wilaya mpya ya Ubungo limetendewa haki na ilani ya CCM licha ya kuwa chini ya mbunge wa upinzania John Mnyika lakini maendeleo makubwa katika jimbo eneo hilo yameletwa na kusimamiwa kwa jitihada ya CCM.
Katika jimbo hilo kuna miradi mikubwa inayo endelea kwa mfano; Mradi mkubwa wa ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi, ujenzi wa njia sita Kimara -- Kiluvya, ujenzi wa tank kubwa la maji, ujenzi wa hospitali ya wilaya, ujenzi wa soko kubwa la ndizi Kiluvya Bwawani, n.k
Kuna miradi lukuki inaendelea katika eneo hilo. Kwa jitahada hizo ni dhahiri jimbo hilo tayari limesha gombolewa kutoka mikononi mwa Chadema, sasa CCM msifanye kosa, teueni mtu makini mwenye amsha amsha ya maendeleo, tayari jimbo ni lenu hilo, hili ni jimbo muhimu sana kwani ndio lango kuu la uchumi wa DSM.
Kipenga kimesha pulizwa waliotia nia uwanja kwenu.
Syo Kweli, Kwan Wabunge wapinzani waombea fedhana hiyo ni kutokana na nguvu kubwa ya maendeleo aliyo ifanya Rais hivyo itarahisisha sana kazi kwa wabunge na madiwani wa ccm, ukitazama kila kona ya nchi kuna maenseleo yanafanyika,
ila kuna baadhi ya majimbo kuna wabunge wa vyama vya upinzani wamejitahidi kutatua kero za wananchi wao,
nilikuwa na mkubali sana mbunge wa Moshi marehemu mzee Ndesamburo nmana alivyo kuwa akitatua kero za wananchi wake, ndio mbunge ana paswa kuwa.
Kodi za Wananchi ww syo Hela ya ccmMiongoni mwa majimbo katika mkoa wa DSM Jimbo la Kibamba ambalo lipo katika wilaya mpya ya Ubungo limetendewa haki na ilani ya CCM licha ya kuwa chini ya mbunge wa upinzania John Mnyika lakini maendeleo makubwa katika jimbo eneo hilo yameletwa na kusimamiwa kwa jitihada ya CCM.
Katika jimbo hilo kuna miradi mikubwa inayo endelea kwa mfano; Mradi mkubwa wa ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi, ujenzi wa njia sita Kimara -- Kiluvya, ujenzi wa tank kubwa la maji, ujenzi wa hospitali ya wilaya, ujenzi wa soko kubwa la ndizi Kiluvya Bwawani, n.k
Kuna miradi lukuki inaendelea katika eneo hilo. Kwa jitahada hizo ni dhahiri jimbo hilo tayari limesha gombolewa kutoka mikononi mwa Chadema, sasa CCM msifanye kosa, teueni mtu makini mwenye amsha amsha ya maendeleo, tayari jimbo ni lenu hilo, hili ni jimbo muhimu sana kwani ndio lango kuu la uchumi wa DSM.
Kipenga kimesha pulizwa waliotia nia uwanja kwenu.
Kwa hiyo unathibitisha kwenu maendeleo ni kutazama jimbo lipo chini ya mbunge wa gani?tatizo mbunge aliye kuwepo hakuwa karibu na wanananchi wake ktk kushughulikia kero za wana nchi wake.
..yote yanayo fanyika ktk jimbo la kibamba sio kwa jitihada za Mnyika bali ni kwa nguvu sa serikali sasa tunajiuliza je? kama ange kuwa mbunge wa chama cha Rais si wananchi wange nufaika mara dufu.
nadhani octoba 2020 jibu litapatikana
Maendeleo yapi?Unajidhalilisha na picha ya avatar umevaa suti kwani unafanya watu wavaa suti tuonekane wajinga. Kupinga huko kwa kina Mdee na Mnyika ndiko kuliko pelekea majimbo yenu yakapata maendeleo tofauti na Mtera, Kongwa au Katavi.
Hivi akili zenu mbona hamzitumii nyie kuelewa?
Nadhani umeweka sana ushabiki kuliko uhalisia sio kosa lakoAkili yako imejaa tope,huyo m bunge wako ungemuona vipi wakati hakuruhusiwa hata kufanya mikutano ya shukrani?
Pale makabe alitaka kufanya mkutano 2018,policcm wakauzuia,mimi nilikuwepo.
inasikitisha sana kuwa na mawazo kama hayotatizo mbunge aliye kuwepo hakuwa karibu na wanananchi wake ktk kushughulikia kero za wana nchi wake.
..yote yanayo fanyika ktk jimbo la kibamba sio kwa jitihada za Mnyika bali ni kwa nguvu sa serikali sasa tunajiuliza je? kama ange kuwa mbunge wa chama cha Rais si wananchi wange nufaika mara dufu.
nadhani octoba 2020 jibu litapatikana
Ndiyo ukweli ameusemaNadhani umeweka sana ushabiki kuliko uhalisia sio kosa lako
Jitambua maana yake ni nini? Hata Mbunge hawasaidii kutatua matatizo yenu basi muendelee kumchagua tu huko ni kujitambua au ni unyumbu?kwa taarifa yako wakazi wengi wa kibamba ni watu wanao jitambua, apo CCM hata ifanye nini haiwezi kupita
baadhi ya wabunge wa upinzani hupinga bajeti ya serikali kila mwaka, na bajeti hiyo ndiyo bajeti ya maendeleo ya wananchiSyo Kweli, Kwan Wabunge wapinzani waombea fedha
Ili kukamilisha miradi kwenye majimbo yao serikali inapeleka huko, si wananyongonyesha maksudi ili wapate sababu kesho waseme Wabunge wenu hawafanyi lolote
Kutaka bunge liwe ka Chama kimoja kwanza bunge litakuwa halina challenge
Ova