hapana maendeleo ni mashirikiano ya karibu kati ya mbunge na wananchi wake kutafuta ufumbuzi wa kero na kuleta maendeleo, mifano ya baadhi ya wabunge tunaona jitihada zao ktk majimbo yao.Kwa hiyo unathibitisha kwenu maendeleo ni kutazama jimbo lipo chini ya mbunge wa gani?
usikute unakaa kariakoi unatusea wana kibambaMnyika ni wa ajabu sana mie toka nianze kukaa hii wilaya mara ya mwisho kumuona anazungukia huku ni last election na mbaya zaidi tunachangamoto nyingi ila kila siku tunamuona akipinga kila kitu mbungeni yeye na mdee wapumzike tu maana changamoto zao zinafanana
tatizo mbunge aliye kuwepo hakuwa karibu na wanananchi wake ktk kushughulikia kero za wana nchi wake.
..yote yanayo fanyika ktk jimbo la kibamba sio kwa jitihada za Mnyika bali ni kwa nguvu sa serikali sasa tunajiuliza je? kama ange kuwa mbunge wa chama cha Rais si wananchi wange nufaika mara dufu.
nadhani octoba 2020 jibu litapatikana
Wale wabunge walio karibu na Rais mfano Lakairo wa Rorya wamenufaika na nini? mnapenda sana upotoshaji sijui mnapata faida gani. Au jimbo la Doto Biteko alie karibu na Rais wananchi wake wamenufaika nini ki maendeleo? wakati ata soko la matikiti ameshindwa kuwatafutia tunayapita yanaoigwa na jua pale barabarani.tatizo mbunge aliye kuwepo hakuwa karibu na wanananchi wake ktk kushughulikia kero za wana nchi wake.
..yote yanayo fanyika ktk jimbo la kibamba sio kwa jitihada za Mnyika bali ni kwa nguvu sa serikali sasa tunajiuliza je? kama ange kuwa mbunge wa chama cha Rais si wananchi wange nufaika mara dufu.
nadhani octoba 2020 jibu litapatikana
La Gwajima hilo.Miongoni mwa majimbo katika mkoa wa DSM Jimbo la Kibamba ambalo lipo katika wilaya mpya ya Ubungo limetendewa haki na ilani ya CCM licha ya kuwa chini ya mbunge wa upinzania John Mnyika lakini maendeleo makubwa katika jimbo eneo hilo yameletwa na kusimamiwa kwa jitihada ya CCM.
Katika jimbo hilo kuna miradi mikubwa inayo endelea kwa mfano; Mradi mkubwa wa ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi, ujenzi wa njia sita Kimara -- Kiluvya, ujenzi wa tank kubwa la maji, ujenzi wa hospitali ya wilaya, ujenzi wa soko kubwa la ndizi Kiluvya Bwawani, n.k
Kuna miradi lukuki inaendelea katika eneo hilo. Kwa jitahada hizo ni dhahiri jimbo hilo tayari limesha gombolewa kutoka mikononi mwa Chadema, sasa CCM msifanye kosa, teueni mtu makini mwenye amsha amsha ya maendeleo, tayari jimbo ni lenu hilo, hili ni jimbo muhimu sana kwani ndio lango kuu la uchumi wa DSM.
Kipenga kimesha pulizwa waliotia nia uwanja kwenu.
Miongoni mwa majimbo katika mkoa wa DSM Jimbo la Kibamba ambalo lipo katika wilaya mpya ya Ubungo limetendewa haki na ilani ya CCM licha ya kuwa chini ya mbunge wa upinzania John Mnyika lakini maendeleo makubwa katika jimbo eneo hilo yameletwa na kusimamiwa kwa jitihada ya CCM.
Katika jimbo hilo kuna miradi mikubwa inayo endelea kwa mfano; Mradi mkubwa wa ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi, ujenzi wa njia sita Kimara -- Kiluvya, ujenzi wa tank kubwa la maji, ujenzi wa hospitali ya wilaya, ujenzi wa soko kubwa la ndizi Kiluvya Bwawani, n.k
Kuna miradi lukuki inaendelea katika eneo hilo. Kwa jitahada hizo ni dhahiri jimbo hilo tayari limesha gombolewa kutoka mikononi mwa Chadema, sasa CCM msifanye kosa, teueni mtu makini mwenye amsha amsha ya maendeleo, tayari jimbo ni lenu hilo, hili ni jimbo muhimu sana kwani ndio lango kuu la uchumi wa DSM.
Kipenga kimesha pulizwa waliotia nia uwanja kwenu.
Asante Mnyika, jitihada zako kuanzia bungeni mpaka kufanya lobbying tumeziona! Nyie CCM kafanyeni miradi kule kwa Wagogo, majimbo ya Kibajaj na Ndugai yako hoi!Miongoni mwa majimbo katika mkoa wa DSM Jimbo la Kibamba ambalo lipo katika wilaya mpya ya Ubungo limetendewa haki na ilani ya CCM licha ya kuwa chini ya mbunge wa upinzania John Mnyika lakini maendeleo makubwa katika jimbo eneo hilo yameletwa na kusimamiwa kwa jitihada ya CCM.
Katika jimbo hilo kuna miradi mikubwa inayo endelea kwa mfano; Mradi mkubwa wa ujenzi wa stendi ya mabasi mbezi, ujenzi wa njia sita Kimara -- Kiluvya, ujenzi wa tank kubwa la maji, ujenzi wa hospitali ya wilaya, ujenzi wa soko kubwa la ndizi Kiluvya Bwawani, n.k
Kuna miradi lukuki inaendelea katika eneo hilo. Kwa jitahada hizo ni dhahiri jimbo hilo tayari limesha gombolewa kutoka mikononi mwa Chadema, sasa CCM msifanye kosa, teueni mtu makini mwenye amsha amsha ya maendeleo, tayari jimbo ni lenu hilo, hili ni jimbo muhimu sana kwani ndio lango kuu la uchumi wa DSM.
Kipenga kimesha pulizwa waliotia nia uwanja kwenu.
Wewe ndiye wa ajabu, unataka umwone nyumbani kwenu unataka kumpa dada yako? Amekwambia anamtaka? Mnyika kapiga kazi inajulikana na halina ubishi. Kama CCM mnaweza kwanini msipeleke maendele kwa Ndugai na Kibajaji? acheni ungese!Mnyika ni wa ajabu sana mie toka nianze kukaa hii wilaya mara ya mwisho kumuona anazungukia huku ni last election na mbaya zaidi tunachangamoto nyingi ila kila siku tunamuona akipinga kila kitu mbungeni yeye na mdee wapumzike tu maana changamoto zao zinafanana
Ufipa mnashida sana kashfa zinatoka wapi halafu sijui mnafikiria kwa kiungo gani cha kuwafanya hamtakiwi kukosolewa na kwamba yeyote anaewakosoa basi ni kijana wa LumumbaWewe ndiye wa ajabu, unataka umwone nyumbani kwenu unataka kumpa dada yako? Amekwambia anamtaka? Mnyika kapiga kazi inajulikana na halina ubishi. Kama CCM mnaweza kwanini msipeleke maendele kwa Ndugai na Kibajaji? acheni ungese!
Mie ni mkazi wa huku sometimes muwe mnasema ukweli hakuna anachokifanya mnyika huku mie sio mtu wa siasa ila ukweli ndio huousikute unakaa kariakoi unatusea wana kibamba
Angalau ungekosoa!Ufipa mnashida sana kashfa zinatoka wapi halafu sijui mnafikiria kwa kiungo gani cha kuwafanya hamtakiwi kukosolewa na kwamba yeyote anaewakosoa basi ni kijana wa Lumumba