Uchaguzi 2020 Jimbo la kwanza kwenda CHADEMA 2020 ni Singida Kaskazini

Uchaguzi 2020 Jimbo la kwanza kwenda CHADEMA 2020 ni Singida Kaskazini

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Hapa nasemea hivi kwa sababu ya wagombea wawili na historia za maisha ya jamii husika na wagombea wenyewe.
Mchuano ni kati ya LAZARO NYALANDU mbunge mkongwe aliyeongoza jimbo hilo muda mrefu dhidi ya RAMADHANI IGHONDO anayetajwa kuwa mtumishi mkongwe kutoka nyumba kuu.

Hili ni jimbo rahisi na la kwanza kwenda Upinzani Tanzania liwake jua inyeshe mvua kwa mujibu wa sauti za wananchi wa eneo husika. Kutokana na legacy aliyoacha Nyalandu baada ya kujiuzulu ni kwamba wananchi wana hamu naye sana.
 
IMG-20200821-WA0053.jpg
images-64.jpeg
 
Hapo tunataka mbunge yeyote kwetu ni sawa tu ila ........!!
 
Singida hakuna watu wajinga wajinga wa kuchagua ccm kwa ajili ya pilau na fulana kanga na kofia za kijani wanazogawa maccm kila baada ya miaka 5
 
Singida hakuna watu wajinga wajinga wa kuchagua ccm kwa ajili ya pilau na fulana kanga na kofia za kijani wanazogawa maccm kila baada ya miaka 5
Singida ni miongoni mwa mikoa ambayo iko nyuma kimaempndeleo.
 
Singida ni miongoni mwa mikoa ambayo iko nyuma kimaempndeleo.
Huwezi kufananisha na kongwa kwa mfano... maeneo yote yaliyokaliwa na ccm ni duni sn wananchi wamekata tamaa kabisa
 
Ighondo ana ukongwe gani nyumba kuu ili hali ni kijana mdogo hata miaka ya kustaafu bado sana.
 
Back
Top Bottom