Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Kama kuna jimbo ambalo CHADEMA wanaliwinda kwa udi na uvumba basi la Meatu lipo juu kwenye list!
Ni jimbo ambalo lilikuwa chini ya CCM likiwakilishwa na mfanyabiashra mwenye kiwanda cha vintwaji JAMBO kilicho mkoani Shinyanga
Jimbo kwa sasa lina wagombea wawili Leah Komanýa wa CCM na Mwl Johston wa CHADEMA
Ugeni pekee wa kitaifa wa CCM uliofika hapa Meatu kukiombea chama cha CCM ni Mhe Kasim Majaliwa pekee huku uongozi wa juu wa CHADEMA ambao ushafika huku ni Salum Mwalim na Tundu Lissu
Na leo kwa mara ya pili tena Mgombea mwenza Salum Mwalim anakuja tena Meatu
Je kutokukubalika kwa Leah Komanya kwa watu waliokuwa watiifu kwa Jambo ndiyo kunawafanya CHADEMA waamini kuwa wanaweza kulichukua jimbo hili au kuna kingine?
NB:Meatu ndiyo wilaya pekee ambayo mawakal wote wa CHADEMA wameapishwa na na katika kata kumi na sita za jimbo lote.
Kwanini Salum Mwalimu anarudi tena huku Meatu?
Pichani Salum Mwalimu akiwa Maswa akielekea Meatu.
Ni jimbo ambalo lilikuwa chini ya CCM likiwakilishwa na mfanyabiashra mwenye kiwanda cha vintwaji JAMBO kilicho mkoani Shinyanga
Jimbo kwa sasa lina wagombea wawili Leah Komanýa wa CCM na Mwl Johston wa CHADEMA
Ugeni pekee wa kitaifa wa CCM uliofika hapa Meatu kukiombea chama cha CCM ni Mhe Kasim Majaliwa pekee huku uongozi wa juu wa CHADEMA ambao ushafika huku ni Salum Mwalim na Tundu Lissu
Na leo kwa mara ya pili tena Mgombea mwenza Salum Mwalim anakuja tena Meatu
Je kutokukubalika kwa Leah Komanya kwa watu waliokuwa watiifu kwa Jambo ndiyo kunawafanya CHADEMA waamini kuwa wanaweza kulichukua jimbo hili au kuna kingine?
NB:Meatu ndiyo wilaya pekee ambayo mawakal wote wa CHADEMA wameapishwa na na katika kata kumi na sita za jimbo lote.
Kwanini Salum Mwalimu anarudi tena huku Meatu?
Pichani Salum Mwalimu akiwa Maswa akielekea Meatu.