LGE2024 Jimbo la Rungwe, Mkoani Mbeya, Kata ya Iponjola kituo Cha Iponjola kipo katika Jengo la CCM kinyume na kanuni

LGE2024 Jimbo la Rungwe, Mkoani Mbeya, Kata ya Iponjola kituo Cha Iponjola kipo katika Jengo la CCM kinyume na kanuni

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
20241014_015525.jpg

Jimbo la Rungwe ,Mkoani Mbeya, Kata ya Iponjola kituo Cha Iponjola kipo katika Jengo la CCM kinyume na kanuni.

Huu uhuni ni Kwa sababu CCM imechokwa na wananchi huko chini na haikubaliki! Wameamua kufanya Kila aina ya fujo ilimradi waweze kushinda Kwa njia za hujuma !

Tutaenda nao hivyo hivyo wanavyotaka ,ila wajue kuwa huu ni Uchaguzi wa wananchi ambao wanaishi kwenye mtaa au kitongoji kimoja na wanajua Kila kinachoendelea!
 
View attachment 3124353
Jimbo la Rungwe ,Mkoani Mbeya, Kata ya Iponjola kituo Cha Iponjola kipo katika Jengo la CCM kinyume na kanuni.

Huu uhuni ni Kwa sababu CCM imechokwa na wananchi huko chini na haikubaliki! Wameamua kufanya Kila aina ya fujo ilimradi waweze kushinda Kwa njia za hujuma !

Tutaenda nao hivyo hivyo wanavyotaka ,ila wajue kuwa huu ni Uchaguzi wa wananchi ambao wanaishi kwenye mtaa au kitongoji kimoja na wanajua Kila kinachoendelea!

View: https://web.facebook.com/reel/830927785906313
 
View attachment 3124353
Jimbo la Rungwe ,Mkoani Mbeya, Kata ya Iponjola kituo Cha Iponjola kipo katika Jengo la CCM kinyume na kanuni.

Huu uhuni ni Kwa sababu CCM imechokwa na wananchi huko chini na haikubaliki! Wameamua kufanya Kila aina ya fujo ilimradi waweze kushinda Kwa njia za hujuma !

Tutaenda nao hivyo hivyo wanavyotaka ,ila wajue kuwa huu ni Uchaguzi wa wananchi ambao wanaishi kwenye mtaa au kitongoji kimoja na wanajua Kila kinachoendelea!
block C mbona wapo ACT wazalendo kwenye jengo hilo hilo na husemi gentleman? 🐒

hadi maandishi yanatisha yee 🤣
 
View attachment 3124353
Jimbo la Rungwe ,Mkoani Mbeya, Kata ya Iponjola kituo Cha Iponjola kipo katika Jengo la CCM kinyume na kanuni.

Huu uhuni ni Kwa sababu CCM imechokwa na wananchi huko chini na haikubaliki! Wameamua kufanya Kila aina ya fujo ilimradi waweze kushinda Kwa njia za hujuma !

Tutaenda nao hivyo hivyo wanavyotaka ,ila wajue kuwa huu ni Uchaguzi wa wananchi ambao wanaishi kwenye mtaa au kitongoji kimoja na wanajua Kila kinachoendelea!
Huu ni uhuni na mabavu!
 
Back
Top Bottom