Elections 2010 Jimbo la SIHA........TOO CLOSE TO CALL

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Sasa hivi nimetoka kuongea kwa simu na mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Mhandisi Humphrey Abraham Tuni juu ya mwenendo wa kura kaniamba "it is too close to call..." na bado wanakusanya takwimu..........mara atakapojua kwa undani atanijulisha leo hii hii.

Nilipomwuliza matokeo ya Sanya juu alikiri kuwa ni sahihi kama yalivyotolewa na gazeti la Mwananchi yaani:-

Katika Kata ya Sanya Juu jimbo la Siha CCM imepata 1,269 na Chadema 949.

Nitawahabarisha kama habari zitakapokuwa zinaingia ofisini kwangu hapa Arusha mjini..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…