Watu ukiwaambia CCM hawajashinda uchaguzi kihalali 2020 bara na visiwani wanakuwa wagumu kuelewa...lakini huu ni ushahidi tosha,ukirejea historia ya mfumo wa vyama vingi Tanzania,haya yamekuwa yakifanyika sana hasa maeneo ambayo CCM imekabwa vilivyo...hata hili CCM yatakuwa Maji ya shingo kule...ndugu zao wa Damu ACT- Wazalendo watakuwa wamekaba...