JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Miezi michache.iliyopita nilikuwa nawasikiliza hawa.kwenye redio moja. Ila tangu mfumo wa utangazaji wa ile redio ubadilike sijawahi tena kuwasikia na kwa kweli siisikilizi ile redio siku hizi. Nakumbuka alikuwepo Jimmy Kabwe mwenyewe, D Andy, Sebastian, Abby na wengine .
Hawa jamaa kwa sasa wako redio ipi/zipi!?
Hawa jamaa kwa sasa wako redio ipi/zipi!?