Mnafikiria mkiwa wapiπ
Hatimae kafikiwaππ
Jomba mbona kwa miaka mingi nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu?Ni mwenzake na jingalao, Bia yetu, MamaSamia2025, Lucas Mwashambwa, yaani hawa ndiyo chawa wa mama, wanamuonea fahari mama Abduli na wanawaonea aibu mama zao wazazi
Jamani sasa jina langu lina Uajabu ganiπ€πππ
π€£πSiku hizi mtu akijamba anaanzisha thread