wejja
Senior Member
- Nov 1, 2011
- 126
- 16
Salamu wakuu,
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne wa mwaka 2013 na nilituma maombi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada (hisabati/sayansi) na nilibahatika kuchaguliwa katika chuo kikuu cha Dodoma (Udom) katika program maalum. Kwa mara ya kwanza niliona jina langu kupitia website ya NACTE nikiwa miongoni mwa waombaji wengine zaidi ya 4000 tuliochaguliwa katika chuo hicho, majina hayo yalitangazwa tarehe 14 September mwaka huu. Lakini majina yaliyotolewa na chuo (UDOM) tarehe 29 September (juzi) jina langu halionekani.
Naombeni msaada jamani maana furaha yangu imepukutika ghafla.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne wa mwaka 2013 na nilituma maombi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada (hisabati/sayansi) na nilibahatika kuchaguliwa katika chuo kikuu cha Dodoma (Udom) katika program maalum. Kwa mara ya kwanza niliona jina langu kupitia website ya NACTE nikiwa miongoni mwa waombaji wengine zaidi ya 4000 tuliochaguliwa katika chuo hicho, majina hayo yalitangazwa tarehe 14 September mwaka huu. Lakini majina yaliyotolewa na chuo (UDOM) tarehe 29 September (juzi) jina langu halionekani.
Naombeni msaada jamani maana furaha yangu imepukutika ghafla.