Jina la asili la ziwa Tanganyika ni lipi? Na neno Tanganyika linamaanisha nini?

Jina la asili la ziwa Tanganyika ni lipi? Na neno Tanganyika linamaanisha nini?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Kabla ya wazungu kuja Ziwa victoria lilikuwa linaitwa Nyanza. Maana ya Nyaza ni eneo pana lenye maji(Ziwa). Hata jina Rasmu walililipa wazungu ni Victoria-Nyanza. Hata ziwa Nyasa ni hivyohivyo. Neno Nyasa na neno Nyanza yana maana moja.

Sasa hili neno Tanganyika linamaanisha nini? Na kuna jina la asili la hili ziwa?
 
Back
Top Bottom