Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Huyo hapana. Ni Mchagga!Kimei apewe kibubu anaweza sana tu
HUu sasa ubaguzi wa kijingaHuyo hapana. Ni Mchagga!
Ahahahahaha! Ujaona mtoa post alivyoandika eti hawezi kuchaguliwa "mvuka maji"? Umelikemea hilo?HUu sasa ubaguzi wa kijinga
Tatizo mgalatoaHilo jina linajadiliwa mno kwenye corridor za juu huko na upinzani ni mkubwa mno baina yeye na aliyepo sasa kwenye mambo ya (njuruuu)ni nani baina yao akawe boss wa wizara mpya inayoenda kuanzishwa hivi karibuni ihusuyo mambo ya mipango.
" Ilikuwa yule mvuka maji msaidizi wa jamaa angepandishwa kuwa boss na boss angepelekwa mipango lakini kiongozi atasita kumpandisha mvuka maji mwenzake kwa sababu upepo una dhoruba mno kama unavyotambua."
Kimei namkubali sana. Kwa mara ya kwanza nimekula barafu(ice cream) nilinunuliwa na baba yangu mdogo kwa Kimei kipindi ni meneja wa NMB wilaya moja Kagera huko.Hilo jina linajadiliwa mno kwenye corridor za juu huko na upinzani ni mkubwa mno baina yeye na aliyepo sasa kwenye mambo ya (njuruuu)ni nani baina yao akawe boss wa wizara mpya inayoenda kuanzishwa hivi karibuni ihusuyo mambo ya mipango.
" Ilikuwa yule mvuka maji msaidizi wa jamaa angepandishwa kuwa boss na boss angepelekwa mipango lakini kiongozi atasita kumpandisha mvuka maji mwenzake kwa sababu upepo una dhoruba mno kama unavyotambua."
nilitaka kumkumbusha pia kwenye hilo. Akikujibu nitagAhahahahaha! Ujaona mtoa post alivyoandika eti hawezi kuchaguliwa "mvuka maji"? Umelikemea hilo?
Katika hilo hoja yake ni kuwa kuna kelele nyingi za DPW hivyo malkia hawezi kufanya hivyo kwasasaAhahahahaha! Ujaona mtoa post alivyoandika eti hawezi kuchaguliwa "mvuka maji"? Umelikemea hilo?
Mangi?Kimei apewe kibubu anaweza sana tu
Hao ambao sio wachaga wametufanyia nini ? Mfano huyo chotara wa kinyiramba na kisukuma anamaajabu gani maana wizara imemshinda anapuyanga tu na apersonal attack kwa Luhanga Mpina! Kimei kama atapewa vizara ni poa tu!Huyo hapana. Ni Mchagga!